Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina ashikiliwa kwa mashtaka ya ugaidi

Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina ashikiliwa kwa mashtaka ya ugaidi

Nina wasi wasi hao hao wazungu mnao waongelea hapa ndio ambao watakuwa wamemuuza huyo Jamaa baada ya kuahidiwa kupewa baadhi ya rasilimali na kagame
 
Kg ana makosa juu ya hili. Ni muuaji Kama wengine. Ila intelligence agency yake ya kimataifa ni hatari.. sidhani Kama Kuna wa kupambana nao Africa.. Wana military operation nzito Sana ughaibuni ..eg
Kayumba mwanawasa( SA)
Huyo msela(DUBAI)
Kuna mwingine pia kule comoro nk..
Zingine mtaongeza
 
Hiyo United States mental of freedom ndio ilimpa kiburi cya kuanzisha na ku support makundi yaliyo shambulia vijiji kuko nyungwe na nyabimata na kuua raia,msemaji wake Calixte yupo na alisema kila kitu.video YouTube zipo wakijigamba hayo.

Wapambe wa Kagame na mwenyewe ni mahili sana kwa usanii, wana hidden agenda ya kuwamaliza Wahutu wote wasomi ambao anawaona ni tishio kwa utawala wake,si hao tu hata baadhi ya Watutsi wenzake ambao wanapingana nao kisiasa wapo hatarini kupoteza maisha wasipokuwa makini.

Namshangaa sana Paul Rusesabagina ilikuwaje mpaka akafikia hatua ya kuwa so sloppy kwa kufunga safari kwenda Dubai huku akijua fika kwamba mji huo kuna makachero kibao wa Serikali ya Rwanda, na kibaya zaidi ndege za Rwanda zinakwenda Dubai kila siku, si hilo tu hata utawala wa UAE huko karibu sana na Serikali ya Rwanda wana miradi wanayo endesha kwa ubia huko Rwanda - hivi kweli MTU mwenye akili timamu angeweza kweli kujiingiza kichwa kichwa kwenye mdomo wa Mamba? Kama kuna MTU alimdanganya kwamba aje UAE ili wakutane Hotelini huko Dubai kwa nini machale hayakumucheza kwa kukumbuka yaliyo mpata Karegeya kwenye Hoteli ya kitalii huko Afrika Kusini, naye alipigiwa simu na rafiki yake wa karibu wa siku nyingi aliye jifanya anapingana kisiasa na Kagame kumbe danganya toto,Karegeya kakubari kuja kukutan nae Hotelini bila ulinzi wowote akaishia kunyongwa chumbani alipo karibushwa na aliye dhani ni rafiki wake wa karibu kwenye hakakati zao - kumbe!!... , Rusesabagina alipaswa kukumbuka kisa hicho kwanza vile vile na past history ya Mahoteli ya Dubai kutumiwa na watu wa usalama kuwateka nyara wapinzani wa nchi rafiki - binafsi naona Paul ametekwa kuzembe kweli kweli kutokana na kushindwa kwake kuwa makini zaidi kwenye nyenendo zake - sioni kama Trump na Serikali ya Ubelijiji wataingilia kati kumunusuru Paul, utasikia eti Paul kajinyonga akiwa korikoroni au akihachiwa huru kutoka na shinikizo la Mataifa ya Magharibi hatavl akiachiwa hataishi kwa muda mrefu.
 
Kg ana makosa juu ya hili. Ni muuaji Kama wengine. Ila intelligence agency yake ya kimataifa ni hatari.. sidhani Kama Kuna wa kupambana nao Africa.. Wana military operation nzito Sana ughaibuni ..eg
Kayumba mwanawasa( SA)
Huyo msela(DUBAI)
Kuna mwingine pia kule comoro nk..
Zingine mtaongeza
missions za kawaida saana hizo

Ghana waliwai kupandikiza jasusi wao CIA then kwa umahiri zaidi huyo jasusi akapenya akawa double agent wa Russia na CIA walitaka kumpa umakamu wa operation za kiuchumi west Africa

alikuja kujulikana kipindi anawataarifu mabosi wake wa Ghana kuhusu plan ya kuwa makumu wa CIA west Africa
 
missions za kawaida saana hizo

Ghana waliwai kupandikiza jasusi wao CIA then kwa umahiri zaidi huyo jasusi akapenya akawa double agent wa Russia na CIA walitaka kumpa umakamu wa operation za kiuchumi west Africa

alikuja kujulikana kipindi anawataarifu mabosi wake wa Ghana kuhusu plan ya kuwa makumu wa CIA west Africa
Si mbaya mkuu but wanyarwanda wanaonekana zaidi hadharani kwa misheni zenye mifano ya kiisrael ama kirusi..
Kuwafuata maadui ugenini na kuwaleta home ama kuwateketeza ughaibuni na kuacha tetesi pengine ni flani ni flani wao mbele
 
intelligence ni usiri kuna baadhi ya taasisi zinafanya mambo makubwa na kwa usiri wa hali ya juu

sasa ona hiyo mission inaweza kusababisha mgogoro wa kidiplomasia
Si mbaya mkuu but wanyarwanda wanaonekana zaidi hadharani kwa misheni zenye mifano ya kiisrael ama kirusi..
Kuwafuata maadui ugenini na kuwaleta home ama kuwateketeza ughaibuni na kuacha tetesi pengine ni flani ni flani wao mbele
 
Waingereza huwa hawana mchezo

In short Ulaya hakuna ujinga ujinga wa kuachia watawala Fulani wafanye wanayojisikia nje ya nchi
We kweli ?
uingereza Mara mbili Warusi wameshafanya yao na kutambaa.. baada ya masiku ndo tetesi itakuwa Warusi hawa
 
We kweli ?
uingereza Mara mbili Warusi wameshafanya yao na kutambaa.. baada ya masiku ndo tetesi itakuwa Warusi hawa
Nigeria miaka ya nyuma sana walivunja uhusiano na Uingereza sababu hizo hizo za kutaka kumkamata mtu yuko Uingereza

Jaribu kucheki nani Urusi wamewahi kumkamatia Uingereza
 
Nigeria miaka ya nyuma sana walivunja uhusiano na Uingereza sababu hizo hizo za kutaka kumkamata mtu yuko Uingereza

Jaribu kucheki nani Urusi wamewahi kumkamatia Uingereza
Na miaka hio Nigeria wakishirikiana na waisraeli 'Mossad' wakimteka yule waziri wao,wakamlewesha madawa na kumpakia kwny diplomatic bag rais wa Nigeria alikua huyu huyu wa sasa Gen. Buhari.
 
We kweli ?
uingereza Mara mbili Warusi wameshafanya yao na kutambaa.. baada ya masiku ndo tetesi itakuwa Warusi hawa
Urusi ina makumi ya maadui nchini UK lakini haiwezi jaribu hata kumteka mmoja. MI6 na MI5 sio watoto wale, wanakufata kila kona. Imagine waliompa sumu Sergei Skripal walitambuliwa na group la uchunguzi la kiraia, hapo involvement ya majasusi haikuwepo.
 
Urusi ina makumi ya maadui nchini UK lakini haiwezi jaribu hata kumteka mmoja. MI6 na MI5 sio watoto wale, wanakufata kila kona. Imagine waliompa sumu Sergei Skripal walitambuliwa na group la uchunguzi la kiraia, hapo involvement ya majasusi haikuwepo.
Rejea kesi ya litvinenko Alexander, nadhani m16/15 walikuwa wamelala kidogo.
 
Urusi ina makumi ya maadui nchini UK lakini haiwezi jaribu hata kumteka mmoja. MI6 na MI5 sio watoto wale, wanakufata kila kona. Imagine waliompa sumu Sergei Skripal walitambuliwa na group la uchunguzi la kiraia, hapo involvement ya majasusi haikuwepo.
Nnavyosikia scripal ulikuwa mtego wenye fAida zaidi kwa UK zaidi ya Urusi hivyo ulifanyiwa na UK wenyewe kwa maslahi flani ma
 
Nigeria miaka ya nyuma sana walivunja uhusiano na Uingereza sababu hizo hizo za kutaka kumkamata mtu yuko Uingereza

Jaribu kucheki nani Urusi wamewahi kumkamatia Uingereza
Warusi hawakukamati wanakufyeka huko huko ughaibuni au hata home .. hawanaga Tabia ya kurudisha Marais coz ni risk kwa majasusi wao.
 
intelligence ni usiri kuna baadhi ya taasisi zinafanya mambo makubwa na kwa usiri wa hali ya juu

sasa ona hiyo mission inaweza kusababisha mgogoro wa kidiplomasia
Kwenye kuwachukua ughaibuni nililenga zaidi Israel kuliko Russia.. Israel walimtafuta bwana Vita mmoja kutoka German wakamhukum kwa makosa ya kushirikiana na Hitler kuua wayahudi
 
Back
Top Bottom