Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
apewe pesa,his life should never be the same again.Awezeshwe kwa kupewa mafunzo ya uokozi na usalamq
Sio kwa Tanzania hii yenye ukiritimbaAwezeshwe kwa kupewa mafunzo ya uokozi na usalamq
Zaidi ya kupewa panadol hapo hospitali hakuna lingine zaidi. Atarudi zake kupambama na uvuviAwezeshwe kwa kupewa mafunzo ya uokozi na usalamq
Huyo hatapewa chochote zaidi ya panadol...hii nchi unaijua vizuri mkuu?...sasa nataka nikuambie kitu mwigulu nchemba ni waziri wa fedha lakini usije ukashangaa anamuonea wivu kwa vijineema vidogo alivyojaaliwa huyo jamaa ( mvuvi )......Natabiri atapata zawadi nono
Nchi za wenzetu huyo anaweza kupewa ajira! Ila kwa wabongo ni kujazwa sifa uchwara! Ajira ni za UVCCM!
Wewe kila jambo lazima umtaje JPM! Huwezi kuona madhaifu ya watendaji wa serkali hii unaona madhaifu ya Magufuli!Hakika huyu ni shujaa, sio yule Nduli wa Chato