Shujaa wa uokozi ajali ya Precision alijikuta yupo wodini

Shujaa wa uokozi ajali ya Precision alijikuta yupo wodini

Serikali wanafiki, subiri siku tatu hili litapita huyo atarudi kuvua
Kwa wenye kumbukumbu, yule dogo toka nchi ya Mali, aliyeokoa watu France, alipata ajira bila kuangalia shule, umri, utaifa ndani ya Ufaransa, na France wakampa uraia siku hiyo hiyo. Kimbunga kikaja toka kwao Mali, eti arudi akajiunge na jeshi la kwao, looh mtu kasota miaka lundo bila ajira mpaka kutoroka nchi, leo ndo upate thamani, kagomea France.
 
Kwa wenye kumbukumbu, yule dogo toka nchi ya Mali, aliyeokoa watu France, alipata ajira bila kuangalia shule, umri, utaifa ndani ya Ufaransa, na France wakampa uraia siku hiyo hiyo. Kimbunga kikaja toka kwao Mali, eti arudi akajiunge na jeshi la kwao, looh mtu kasota miaka lundo bila ajira mpaka kutoroka nchi, leo ndo upate thamani, kagomea France.
Kama mapepo basi africa kuna mapepo mashenzi sana, angejichanganya akarudi ndio angejua hajui
 
Hawa ndio vijana wa hovyo kabisa? Kwanini hakusubiria amri kutoka kwa wakuu kama wale wanajeshi?
hao wakuu walikuwa wapi hadi yeye anafika eneo la tukio. Hata ungekuwa wewe pengine unasikia vilio vywa watu ndani halafu unajifunga mikono eti unasubiri amri kutoka kwa mtu usiyemuona! na hata hujui ni nani na atafika lini!
 
Back
Top Bottom