Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mie ntabirieNatabiri atapata zawadi nono
Huwa unajua unachoandika kweli?Hakika huyu ni shujaa, sio yule Nduli wa Chato
UTAKUWA BODIGADI WA DOGO AKIPATA AJIRA YA SERIKALINa mie ntabirie
Serikali wanafiki, subiri siku tatu hili litapita huyo atarudi kuvuaUTAKUWA BODIGADI WA DOGO AKIPATA AJIRA YA SERIKALI
Kwa wenye kumbukumbu, yule dogo toka nchi ya Mali, aliyeokoa watu France, alipata ajira bila kuangalia shule, umri, utaifa ndani ya Ufaransa, na France wakampa uraia siku hiyo hiyo. Kimbunga kikaja toka kwao Mali, eti arudi akajiunge na jeshi la kwao, looh mtu kasota miaka lundo bila ajira mpaka kutoroka nchi, leo ndo upate thamani, kagomea France.Serikali wanafiki, subiri siku tatu hili litapita huyo atarudi kuvua
Kama mapepo basi africa kuna mapepo mashenzi sana, angejichanganya akarudi ndio angejua hajuiKwa wenye kumbukumbu, yule dogo toka nchi ya Mali, aliyeokoa watu France, alipata ajira bila kuangalia shule, umri, utaifa ndani ya Ufaransa, na France wakampa uraia siku hiyo hiyo. Kimbunga kikaja toka kwao Mali, eti arudi akajiunge na jeshi la kwao, looh mtu kasota miaka lundo bila ajira mpaka kutoroka nchi, leo ndo upate thamani, kagomea France.
Maswali ya aina hii huwa yanatoka kwenye vichwa vya binadamu, na sio vichwa vya watu.Huwa unajua unachoandika kweli?
Ulaya huyo anapewa mafunzo na kwa kuwa ni kijana anapewa na kazi kabisa kwenye kikosi cha uokozi almaarufu zimamotoKama a
apewe pesa,his life should never be the same again.
Mafunzo yatamsaidia nini kwa bongo hii na jua hili?
hao wakuu walikuwa wapi hadi yeye anafika eneo la tukio. Hata ungekuwa wewe pengine unasikia vilio vywa watu ndani halafu unajifunga mikono eti unasubiri amri kutoka kwa mtu usiyemuona! na hata hujui ni nani na atafika lini!Hawa ndio vijana wa hovyo kabisa? Kwanini hakusubiria amri kutoka kwa wakuu kama wale wanajeshi?
AtunukiweMwanajeshi hodari.
Nakwambia hawa waliookolewa atajitokeza mwenye shkrani atamtunuku kabisaZaidi ya kupewa panadol hapo hospitali hakuna lingine zaidi. Atarudi zake kupambama na uvuvi
Labda hao.Nakwambia hawa waliookolewa atajitokeza mwenye shujrani atamtunuku kabisa
hahahahaAteme nyongo kabisa hapohapo kama keshawai kuchomewa nyavu zake alipwe fidia.
Wakimchukua ataenda kuwa kama hao wengine.Navy wamchukue huyu dogo. Maarifa yake pengine hata askari hawana! Umri wake bado mdogo sana.Wakimchukua ita motivate uzalendo kama huu kwa vijana wengine!
Yes atapewa hata rikboy ujue🤣🤣🤣Labda hao.