Shujaa wa uokozi ajali ya Precision alijikuta yupo wodini

Shujaa wa uokozi ajali ya Precision alijikuta yupo wodini

Kijana anastahili zaidi ya li ten yaani 10m.
Kwanza ameokoa uhai wa watu 26 hili ni jambo zito.
Pili ameisaidia na kuiondolea serikali aibu kwa kushindwa kuokoa.
Mwisho walipa kodi wameepushwa na kifo ambacho kingepunguza nguvu kazi na kodi eboo
Tupewe namba yake tumchangie
 
Huyu ndio kijana anayetakiwa kupewa kazi kitengo cha uokoaji tena uyu anatakiwa kupitishwa kazini bila ya kufanyiwa usaili
 
Namuona hapa kaolewa laki tatu kavaa hood ya orange
 
Huyu ndio kijana anayetakiwa kupewa kazi kitengo cha uokoaji tena uyu anatakiwa kupitishwa kazini bila ya kufanyiwa usaili

Anastahili kabisa kupewa kazi
 
Apelekwe training USA na wenzie kadhaa wavuvi na wapate leseni ya diving, ikiwezekana waombewe internship USA coast guard, wakirudi wawe kwenye kikosi maalum cha uokozi baharini na ziwani.

Kuna kazi nyingine zinahitaji watu wenye vipaji na sio ajira tu za kuwapa watu na kuwasomesha, Hao vijana na wazee wavuvi by proffesional ni talented divers, ukiwaongezea na mafunzo wanakuwa expert kwenye hiyo field na kuwatrain wengine na wengine.
 
kamati iliyo undwa kuchunguza chanzo cha ajali hii hawana budi kumhoji kwa kina huyu dogo.....maana inaonekana kuna mambo mengi aliyashuhudia.
napenda amtambue na amtaje yule mtu aliye mkataza kuwa asivunje kioo wakati alikuwa anataka kumuokoa rubani.
aseee yuna huyo mpumbavu sijui ni nani?hebu imagine familia ya huyo rubani ikisikia hilo tukio.watajisikiaje?
 
Back
Top Bottom