Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
MH.Raisi ameagiza ajiunge na jeshila uokoaji.pia amepewa Tshs 1000000.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MH.Raisi ameagiza ajiunge na jeshila uokoaji.pia amepewa Tshs 1000000.
mitandao ya kijamii imesaidia sana mpaka wameona aibu maana walichokua watu wana comment kwenye mitandao ndicho walichofanya kwa aibu, hii ni best practice dunia nzima watu wa dizaini ya yule dogo wanasomeshwa zaidi na wanapewa vitengo nyeti, ndiomaana huko nyuma kuna stori mwana mmoja alikua kibaka mzoefu anafungua sana makufuli bila walinzi kujua walipomgundua walimtumia kwenye vikosi vyao vya usalama ili awasaidie , hii ndio inaitwa mchawi mpe mwana aleeyaani kwa wenzetu huyo wangemfungulia GOFUND me lazima achezee funds za kutosha aisee.