Ajira kitu gani...wangemkabidhi mil 25 bwana ajue mwenyewe nini akafanyieKapewa na ajira naona. Dogo kaula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajira kitu gani...wangemkabidhi mil 25 bwana ajue mwenyewe nini akafanyieKapewa na ajira naona. Dogo kaula
Tena huko kwenye ajira ya zimamoto wanamrudisha nyuma. Ataenda kufanana na hao aliowakuta....Ajira kitu gani...wangemkabidhi mil 25 bwana ajue mwenyewe nini akafanyie
[emoji23][emoji23]Huyu ndio. True soldier,sio wale wanaojivalishaga madudu kibao kama waganga wa kienyeji,na kutunisha misuri kama power mabula(wahenga wanajua hili).
Keshapewa mkuu!Awezeshwe kwa kupewa mafunzo ya uokozi na usalamq
Angekufa asingejulikanaAngekufa kishujaa,maana angekua kaokoa majority ,kaondoka minority,ukiwa vitani mwanajeshi haogopi vita,.life and death
Uchawi mbaya sana kwa hiyo una muonea wivu kupata kazi ya laki 5Me myanisamehe kidogo kuuliza hili swali, aliwezaje kufungua huo mlango wa dharula, alienda na vifaa gani kufungulia huo mlango, na mbona mlango unaonekana ni mzima hauja pasuliwa?
Pia kuna theory kwamba abiria wa ndani waliokuwa wakiangaika kujiokoa ndio walifungua huo mlango?
Au labda yy ndio alikuwa wa kwanza kufika ktk eneo hilo na kusaidia baadhi ya abiria waliokwisha Anza kutoka ndio kumempa hiyo advantage ya kuonekana ni mwokozi wa manusura.
Nauliza tu lkn yote kwa yote kama ni kweli yeye ndie aliyefungua huo mlango anastahili pongezi.
Swali la kipumbavu kutoka kwa MjingaMkuu protocol lazima zifuatwe...je angekufa?
Weeeee sema haki......Form four ulifeli akili utazitoa wapi
Nimewaza tu mkuu sio lazima wote tuwe na mawazo yanayo fanana.[emoji3061]Uchawi mbaya sana kwa hiyo una muonea wivu kupata kazi ya laki 5
Watu wenye akili kama zako ndo mnakulaga mpaka rambirambiMe myanisamehe kidogo kuuliza hili swali, aliwezaje kufungua huo mlango wa dharula, alienda na vifaa gani kufungulia huo mlango, na mbona mlango unaonekana ni mzima hauja pasuliwa?
Pia kuna theory kwamba abiria wa ndani waliokuwa wakiangaika kujiokoa ndio walifungua huo mlango?
Au labda yy ndio alikuwa wa kwanza kufika ktk eneo hilo na kusaidia baadhi ya abiria waliokwisha Anza kutoka ndio kumempa hiyo advantage ya kuonekana ni mwokozi wa manusura.
Nauliza tu lkn yote kwa yote kama ni kweli yeye ndie aliyefungua huo mlango anastahili pongezi.
Anaongea Utumbo sana.Watu wenye akili kama zako ndo mnakulaga mpaka rambirambi
Ni maoni yangu tu mkuu usinihukumuWatu wenye akili kama zako ndo mnakulaga mpaka rambirambi
Or if he decided to use his smartphone espectivelly.nimejaribu kielizebethTry to imagine if he would have decided to standby and watch just like__________ !!!
Ukisikiliza interview yake utaelewa mengi... zama youtubeMe myanisamehe kidogo kuuliza hili swali, aliwezaje kufungua huo mlango wa dharula, alienda na vifaa gani kufungulia huo mlango, na mbona mlango unaonekana ni mzima hauja pasuliwa?
Pia kuna theory kwamba abiria wa ndani waliokuwa wakiangaika kujiokoa ndio walifungua huo mlango?
Au labda yy ndio alikuwa wa kwanza kufika ktk eneo hilo na kusaidia baadhi ya abiria waliokwisha Anza kutoka ndio kumempa hiyo advantage ya kuonekana ni mwokozi wa manusura.
Nauliza tu lkn yote kwa yote kama ni kweli yeye ndie aliyefungua huo mlango anastahili pongezi.
Weka tena updateZaidi ya kupewa panadol hapo hospitali hakuna lingine zaidi. Atarudi zake kupambama na uvuvi
UPDATE: Kapewa 1m kwa maagizo ya waziri mkuu.
NisaidieWeka tena update
😂😂😂 Sio poa hii Kali, naona kambeba Minion mmoja kwa mbele[emoji23][emoji23]View attachment 2409388