Shujaa wa uokozi ajali ya Precision alijikuta yupo wodini

Shujaa wa uokozi ajali ya Precision alijikuta yupo wodini

Huyu ndio. True soldier,sio wale wanaojivalishaga madudu kibao kama waganga wa kienyeji,na kutunisha misuri kama power mabula(wahenga wanajua hili).
[emoji23][emoji23]
IMG-20221107-WA0020.jpg
 
Nawaza kwa sauti.. waliookolewa ni 24... wakimchangia hata 1,000,000 dogo anaondoka na 24,000,000.. kwanini wasifanye hivyo kama shukrani?
 
Me myanisamehe kidogo kuuliza hili swali, aliwezaje kufungua huo mlango wa dharula, alienda na vifaa gani kufungulia huo mlango, na mbona mlango unaonekana ni mzima hauja pasuliwa?

Pia kuna theory kwamba abiria wa ndani waliokuwa wakiangaika kujiokoa ndio walifungua huo mlango?

Au labda yy ndio alikuwa wa kwanza kufika ktk eneo hilo na kusaidia baadhi ya abiria waliokwisha Anza kutoka ndio kumempa hiyo advantage ya kuonekana ni mwokozi wa manusura.

Nauliza tu lkn yote kwa yote kama ni kweli yeye ndie aliyefungua huo mlango anastahili pongezi.
 
Me myanisamehe kidogo kuuliza hili swali, aliwezaje kufungua huo mlango wa dharula, alienda na vifaa gani kufungulia huo mlango, na mbona mlango unaonekana ni mzima hauja pasuliwa?

Pia kuna theory kwamba abiria wa ndani waliokuwa wakiangaika kujiokoa ndio walifungua huo mlango?

Au labda yy ndio alikuwa wa kwanza kufika ktk eneo hilo na kusaidia baadhi ya abiria waliokwisha Anza kutoka ndio kumempa hiyo advantage ya kuonekana ni mwokozi wa manusura.

Nauliza tu lkn yote kwa yote kama ni kweli yeye ndie aliyefungua huo mlango anastahili pongezi.
Uchawi mbaya sana kwa hiyo una muonea wivu kupata kazi ya laki 5
 
Me myanisamehe kidogo kuuliza hili swali, aliwezaje kufungua huo mlango wa dharula, alienda na vifaa gani kufungulia huo mlango, na mbona mlango unaonekana ni mzima hauja pasuliwa?

Pia kuna theory kwamba abiria wa ndani waliokuwa wakiangaika kujiokoa ndio walifungua huo mlango?

Au labda yy ndio alikuwa wa kwanza kufika ktk eneo hilo na kusaidia baadhi ya abiria waliokwisha Anza kutoka ndio kumempa hiyo advantage ya kuonekana ni mwokozi wa manusura.

Nauliza tu lkn yote kwa yote kama ni kweli yeye ndie aliyefungua huo mlango anastahili pongezi.
Watu wenye akili kama zako ndo mnakulaga mpaka rambirambi
 
Me myanisamehe kidogo kuuliza hili swali, aliwezaje kufungua huo mlango wa dharula, alienda na vifaa gani kufungulia huo mlango, na mbona mlango unaonekana ni mzima hauja pasuliwa?

Pia kuna theory kwamba abiria wa ndani waliokuwa wakiangaika kujiokoa ndio walifungua huo mlango?

Au labda yy ndio alikuwa wa kwanza kufika ktk eneo hilo na kusaidia baadhi ya abiria waliokwisha Anza kutoka ndio kumempa hiyo advantage ya kuonekana ni mwokozi wa manusura.

Nauliza tu lkn yote kwa yote kama ni kweli yeye ndie aliyefungua huo mlango anastahili pongezi.
Ukisikiliza interview yake utaelewa mengi... zama youtube
 
Back
Top Bottom