Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasubiria comments za vijana wa hovyo wa mitandaoni tuone ujinga wao ila kwa nchi nyingine kajamaa kangekua kashujaa hata kuokoa hao wachache
kamati iliyo undwa kuchunguza chanzo cha ajali hii hawana budi kumhoji kwa kina huyu dogo.....maana inaonekana kuna mambo mengi aliyashuhudia.
napenda amtambue na amtaje yule mtu aliye mkataza kuwa asivunje kioo wakati alikuwa anataka kumuokoa rubani.
[emoji28][emoji28][emoji23]wamerogwa hai Mali yaani nshafika nchi ya maziwa na asali arudi tena huku shithole wehu hao kweliKwa wenye kumbukumbu, yule dogo toka nchi ya Mali, aliyeokoa watu France, alipata ajira bila kuangalia shule, umri, utaifa ndani ya Ufaransa, na France wakampa uraia siku hiyo hiyo. Kimbunga kikaja toka kwao Mali, eti arudi akajiunge na jeshi la kwao, looh mtu kasota miaka lundo bila ajira mpaka kutoroka nchi, leo ndo upate thamani, kagomea France.
Hakika huyu ni shujaa, sio yule Nduli wa Chato
Mkuu protocol lazima zifuatwe...je angekufa?
apewe pesa; PESA KAPEWA.
Mafunzo yatamsaidia nini; NA KWENYE MAFUNZO TAYARI AMEINGIA.
Huyu ndio. True soldier,sio wale wanaojivalishaga madudu kibao kama waganga wa kienyeji,na kutunisha misuri kama power mabula(wahenga wanajua hili).Mwanajeshi hodari.
aseee yuna huyo mpumbavu sijui ni nani?hebu imagine familia ya huyo rubani ikisikia hilo tukio.watajisikiaje?
Huku haifai sasayaani kwa wenzetu huyo wangemfungulia GOFUND me lazima achezee funds za kutosha aisee.
Aisee kwanini asingevunja tu
Million moja kwa kuokoa lives zote hizo😲😲😲Zaidi ya kupewa panadol hapo hospitali hakuna lingine zaidi. Atarudi zake kupambama na uvuvi
UPDATE: Kapewa 1m kwa maagizo ya waziri mkuu.
Cha kusikitisha alipokatazwa kupasua kioo ambacho rubani alimwelekeza apasue, alizama tena akamfuata Rubani na kumpungia mkono kwamba ndugu kwaheri wamenikataza nisikuokoe, Rubani akamuelekeza tena kwamba basi nifungulie mlango wa dharula uko pale! Dogo kaenda pale kafunga kamba na kuanza kuvuta mlango kamba ikavyatuka na kumchapa kichwa akizilai hakujua tena nn kiliendelea.Sijui kwanini alimsikiliza hiyo boya.
Dah jamaa hamumwachi apumue 😂😂 ashakufa bwanaHakika huyu ni shujaa, sio yule Nduli wa Chato
HahahaHuyu ndio. True soldier,sio wale wanaojivalishaga madudu kibao kama waganga wa kienyeji,na kutunisha misuri kama power mabula(wahenga wanajua hili).
Kapewa na ajira naona. Dogo kaulaMillion moja kwa kuokoa lives zote hizo😲😲😲
Eti serikali na watu wazima woooote waliomo wamempa 1m! Viongozi wana uchu wa madaraka afu wabinafsi sana apo ni kwa vile kaokoa watu ambao hawakuwa na wadhifa, angeokoa waziri mmoja tu angeitwa bungeni wakapitisha harambeeapewe pesa,his life should never be the same again.
Mafunzo yatamsaidia nini kwa bongo hii na jua hili?
...Na wale 23 waliookoka na Ajali kutokana na Yeye, Wamkumbuke..!!!!Shujaa pongezi kwake