Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao wakuu walikuwa wapi hadi yeye anafika eneo la tukio. Hata ungekuwa wewe pengine unasikia vilio vywa watu ndani halafu unajifunga mikono eti unasubiri amri kutoka kwa mtu usiyemuona! na hata hujui ni nani na atafika lini!
Sasa si Ulaya au?Ulaya huyo anapewa mafunzo na kwa kuwa ni kijana anapewa na kazi kabisa kwenye kikosi cha uokozi almaarufu zimamoto
Mkuu protocol lazima zifuatwe...je angekufa?
Angekufa kishujaa,maana angekua kaokoa majority ,kaondoka minority,ukiwa vitani mwanajeshi haogopi vita,.life and deathMkuu protocol lazima zifuatwe...je angekufa?
Mwamba kapewa milioni moja...inawezekana zikafuata nyingineYes atapewa hata rikboy ujue🤣🤣🤣
Huu ni itani wa ngumi....hii nchi bhanaMwamba kapewa milioni moja...inawezekana zikafuata nyingine
Mbona wakina mandonga,pierre etcNakwambia hawa waliookolewa atajitokeza mwenye shujrani atamtunuku kabisa
Ha haa wangempa ngapi labda?Huu ni itani wa ngumi....hii nchi bhana
Wakina mandonga pierre type wanawapaga ngapiHa haa wangempa ngapi labda?
Sijui mkuu, nikumbusheWakina mandonga pierre type wanawapaga ngapi
Ova
Anastahili nishani
Hawa ndio wanapaswa kuwa wanajeshi wa maji.
Sio wale VITAMBI RUSHWA, VI.
AIBU YA TAIFWA.
Kijana anastahili zaidi ya li ten yaani 10m.Ha haa wangempa ngapi labda?
Usirushe ngumi tu🙃😇🤣Na mie ntabirie