Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Salamu sana wana jamii wote.
Napenda kutoa shukrani zangu kwa wana familiya hii wote kutokana na kuitikia ombi langu la kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu aliyekuwa anaumwa.
Nilipata michango kiasi cha shilingi laki nne hivi. Niliweza kwenda na vijana wangu wawili.
Nilikuta amelazwa Hosp ya rufaa Mbeya. Nilifanikiwa kuongea naye na tulifanikiwa kushikana mikono na kutangaziana msamaha.
Tuliendelea Kuuguza na ilipofika 21/2 alifariki. Tulizika 23!2 tulimzika.
Nawashukuru sana. Mungu awabariki.
Napenda kutoa shukrani zangu kwa wana familiya hii wote kutokana na kuitikia ombi langu la kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu aliyekuwa anaumwa.
Nilipata michango kiasi cha shilingi laki nne hivi. Niliweza kwenda na vijana wangu wawili.
Nilikuta amelazwa Hosp ya rufaa Mbeya. Nilifanikiwa kuongea naye na tulifanikiwa kushikana mikono na kutangaziana msamaha.
Tuliendelea Kuuguza na ilipofika 21/2 alifariki. Tulizika 23!2 tulimzika.
Nawashukuru sana. Mungu awabariki.