Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Salamu sana wana jamii wote.

Napenda kutoa shukrani zangu kwa wana familiya hii wote kutokana na kuitikia ombi langu la kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu aliyekuwa anaumwa.

Nilipata michango kiasi cha shilingi laki nne hivi. Niliweza kwenda na vijana wangu wawili.

Nilikuta amelazwa Hosp ya rufaa Mbeya. Nilifanikiwa kuongea naye na tulifanikiwa kushikana mikono na kutangaziana msamaha.

Tuliendelea Kuuguza na ilipofika 21/2 alifariki. Tulizika 23!2 tulimzika.

Nawashukuru sana. Mungu awabariki.
pole sana tupo pamoja
 
Mama pole na msiba , Kweli nimejua jamii forum ni zaidi.Wabarikiwe wote waliowezesha mama/dada yetu mamndenyi kwenda kumwona mwenzie katika dakika za mwisho na hatimaye kuwezesha kumpumzisha kwa amani.
 
Ukizeeka Utakuwa mchawi naona imekuuma kwelikweli.

Yes ,imeniuma watu kugeuka ombaomba..watu wazima wenye usomi,miguu miwili na mikono,na akili kubwa tu,ana-resort into begging...this is where we are going to as a society!

Happy to know!
 
Back
Top Bottom