Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Pole sana kwa yote yaliyokupata, tangu kuuguza mpaka kumpumzisha mpendwa mzazi Mwenzio. Mungu Awape nguvu, faraja na amani! Mungu Ampumzishe baba watoto wako mahali pema, Amin!
 
Mmoja wa wanawake waungwana hapa JF ni Mamndenyi.
jingalao na YEHODAYA mngeiga kwa huyu mwanamke mwenzenu mngeheshimika sana
Pole zake ila wewe tunakujua ni mkware ushaanza kuzengea mjane kabla hata arobaini haijaisha umeshaanza kupandisha jeki yako katikati ya mapaja.Acha ukware wa kupindukia .Hiki ni kipindi cha maombolezo pole sana Mamndenyi.Wee malaya subiri walau arobaini ya mzazi mwenzie wa Mamdenji iishe ndio upandishe nyege zako. Loooo mtu mzima hovyo!!!
 
Yes ,imeniuma watu kugeuka ombaomba..watu wazima wenye usomi,miguu miwili na mikono,na akili kubwa tu,ana-resort into begging...this is where we are going to as a society!

Happy to know!
Serikali zote duniani pamoja na rasilimali zote lakini huwa wanaomba msaada na MIKOPO mingine ya masharti makubwa. Sembuse MWANADAMU. Hujafa hujaumbika ndugu yangu. Usimsemee mwenzenu ambaye humfahamu na hujui anayoyaoitia. Pole sana dada yangu Mamndenyi na MUNGU akijalia kwa roho njema ya upendo na msamaha. Laiti hasa wanaume wangefahamu madhara ya KUTELEKEZA mke wa ujana wako.
 
Serikali zote duniani pamoja na rasilimali zote lakini huwa wanaomba msaada na MIKOPO mingine ya masharti makubwa. Sembuse MWANADAMU. Hujafa hujaumbika ndugu yangu. Usimsemee mwenzenu ambaye humfahamu na hujui anayoyaoitia. Pole sana dada yangu Mamndenyi na MUNGU akijalia kwa roho njema ya upendo na msamaha. Laiti hasa wanaume wangefahamu madhara ya KUTELEKEZA mke wa ujana wako.


Acha laana ya dua la kuku kwa mwewe!

Unaongea as if you are the cleanest person on earth!

Kuomba msaada wa bure ni tofauti na kuomba mkopo...

Mungu hana uhusiano wowote na ukisemacho kwenye post yako.

Kufiwa,kila siku tunafiwa na wapendwa wetu,kufiwa mimi sio shida yako,na kufiwa wewe sio shida yangu..usijifanye special kwa kufiwa!

Huwezi kujua nani kamtelekeza nani.Huwezi toa judgement in favor ya Mamdenyi wakati muhusika hayupo hapa.Huwenda Mandenyi ndio instigator aliemuacha mumewe..Always mnapitisha judgement blindly!No one is saint,either mwanaume au mwanamke!

Acheni ombaomba.com na mamdenyi wenu!
 
Back
Top Bottom