Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Pole sana Mamndenyi
Huwa humu nasoma taarifa nyingi za watu lakini nachelea kujitosa kuchangia kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Kwa mara nyingine pole kwa kuondokewa na mzazi mwenzio.
May his soul Rest in peace.
 
Wala,

I do not know her,never met her,never..

I have ana uncanny hatred na watu wanao ombaomba,especially mtu anaetumia nafasi yake ya kujulikana,au anything kama mtaji wa kuombea....I really despise people who project somekind of fake persona kuomba watu anything...

Mamdenyi ni msomi,mwenye kazi,hana ulemavu wowote,ila I can sense ana habit za kitapeli kutumia her influence na umaarufu wake JF kuelezea shida zake ambazo 90% ya watu wote humu tunakutana nazo on the daily basis ila yeye anataka asaidiwe....

I will debunk her
"I do not know her..........."

"Mamndenyi ni msomi, mwenye kazi, hana ulemavu wowote.........."


Nigga you gay? [emoji53]


Why you https://jamii.app/JFUserGuide*ng yaself in the same shit of a comment?
 
Hiyo laki nne uliitoa wewe?
Kama ndiyo pole

Kama siyo wacha kuumia roho na mali ya mwenzako.

Honest,

Sitoi ujinga mimi.Huwezi nikuta kwenye list ya "kuchangia" upuuzi wakati bibi yangu anaoza mguu pale Marangu!

Wala sijawalalamikia waliochanga,upo hapo?Refer post zangu zote.

Nina-debunk mtu aliegeuka mrubuni wa kuomba misaada.

Wananchi always ni vurnerable tu,siwalaumu.Tatizo ni mjanja aliewatwika mzigo wake wamsaidie wakati wao wana shida hizo hizo!

Naumia roho anavyotumia position yake ya kujulikana kuombea misaada.Hapo tu ndio pananichukiza kupita kiasi.

Na kuhusu kunyamaza,huwezi nipangia mkuu,nina domo kama lako,nina uhuru wa kuongea kama wewe...Huna mandate ya kuniambia "nyamaza"!
 
Honest,

Sitoi ujinga mimi.Huwezi nikuta kwenye list ya "kuchangia" upuuzi wakati bibi yangu anaoza mguu pale Marangu!

Wala sijawalalamikia waliochanga,upo hapo?Refer post zangu zote.

Nina-debunk mtu aliegeuka mrubuni wa kuomba misaada.

Wananchi always ni vurnerable tu,siwalaumu.Tatizo ni mjanja aliewatwika mzigo wake wamsaidie wakati wao wana shida hizo hizo!

Naumia roho anavyotumia position yake ya kujulikana kuombea misaada.Hapo tu ndio pananichukiza kupita kiasi.

Na kuhusu kunyamaza,huwezi nipangia mkuu,nina domo kama lako,nina uhuru wa kuongea kama wewe...Huna mandate ya kuniambia "nyamaza"!
Wacha kuumia roho na kitu cha mwenzako.
 
"I do not know her..........."

"Mamndenyi ni msomi, mwenye kazi, hana ulemavu wowote.........."


Nigga you gay? [emoji53]


Why you *****ng yaself in the same shit of a comment?


Mr Riley Freeman

Lil nyuiggah shutup...Nuttin gay AF of u than u on Boodocks Season 2 on The Story of Gangstalicious 2,then seen with a box of sexually ambiguous clothes with a highly feminine lean from the line sent to you by Gangstalicious

Stop spewing hot airs.

Plus,kama mimi kumfatilia mwanamke kama Mamdenyi ambae ni opposite sex na mimi ndio kua gay,let it be!It shows how misinformed you are!

Simjui Mandenyi personally in a normal personal setting,ila namjua kama character ndani ya JF baada ya kusoma posts nying kuhusu yeye,wanaomfaham in a personal level...

Sasa sijui unataka nini from me?Im into women,please be on yo lane!
 
Du pole sana nimeumia cause niliuona uzi but sikuusoma ndani sijui nilitingwa na nini... huwa naheshimu michango yako sana ningeguswa tu!
 
Hua unasaidia rafiki zako wakikwama kipesa ndugu?

Nasaidia,ila sio unanijia kijamii na PR machinery namna hii!

Hii ni social manipulation!

Ana tatizo ndio,lipo kweli..ila kwa yeye,ni mfanyakazi anaweza kukopa kwa wenzake sio lazima liwe tatizo la TZ nzima kwa kulifungulia thread mahususi na insha ndefu ndefu zilizoandikwa kisanifu!
 
Mr Riley Freeman

Lil nyuiggah shutup...Nuttin gay AF of u than u on Boodocks Season 2 on The Story of Gangstalicious 2,then seen with a box of sexually ambiguous clothes with a highly feminine lean from the line sent to you by Gangstalicious

Stop spewing hot airs.

Plus,kama mimi kumfatilia mwanamke kama Mamdenyi ambae ni opposite sex na mimi ndio kua gay,let it be!It shows how misinformed you are!

Simjui Mandenyi personally in a normal personal setting,ila namjua kama character ndani ya JF baada ya kusoma posts nying kuhusu yeye,wanaomfaham in a personal level...

Sasa sijui unataka nini from me?Im into women,please be on yo lane!
Kama humjui unamfatilia ya nini?

Hell i hate em niggas who ain't got no life but all they do is tryna grab shit attention and envy others' life. -In Uncle Ruckus' voice (no relation)
 
Kama humjui unamfatilia ya nini?

Hell i hate em niggas who ain't got no life but all they do is tryna grab shit attention and envy others' life. -In Uncle Ruckus' voice (no relation)


Hivi unaelewa nikisema "simfahamu in a personal level na sijawahi kuonana nae" na "namfahamu kupitia post za watu wamjuao wanazopost humu"?

Who needs attention?So what?

Online attention from people I really do not know?Do I know u or do u know me?We are online actors,who cares?

U hate em niggaz,thats yo problem,deal with it!

Nafatilia tabia yake ya kua professional beggar......watu hawa ni organized beggars...nachukia tabia hiyo!

Mamdenyi ni bonafide professional beggar...Im sorry to make u this much uncomfortable!
 
Back
Top Bottom