Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Huyu jamaa aisee

Hivi si anaweza kukuloga?!!!

A man! a really man!!
Atleast angekuwa mdada tungesema wivu wa kike


Acha side petty talk...Talk to me one on one!

Niloge mtu kwa nini?Laki 4?

Wivu?Wivu unatokea kama mtu unamjua in a personal level na awe peer wako...Im none of all that!

It doest make any sense whatsoever!
 
Acha side petty talk...Talk to me one on one!

Niloge mtu kwa nini?Laki 4?

Wivu?Wivu unatokea kama mtu unamjua in a personal level na awe peer wako...Im none of all that!

It doest make any sense whatsoever!
Utajua mwenyewe na roho yako.
 
Utajua mwenyewe na roho yako.

Mkuu

Ungekua unaelewa huyu mtu nilianza nae tangu anaomba hela...hii ni thread ya pili..

Hii tabia ya ombaomba anayo kitambo..Inatakiwa uelewe perspective ya mtu sio unakimbilia allegations tu
 
Mkuu

Ungekua unaelewa huyu mtu nilianza nae tangu anaomba hela...hii ni thread ya pili..

Hii tabia ya ombaomba anayo kitambo..Inatakiwa uelewe perspective ya mtu sio unakimbilia allegations tu
Kwa hiyo?
 
Mamndenyi pole sana mamiii... kwa niaba ya wote.. ila nakushauri epuka sana attention kwenye social network.. zitakulemaza... ishi vizuri na wanaokuzunguka.. sio kila kitu ulete kwenye mitandao kwa wasiokujua... maana wengine watakutukana

mfano nauli ya mbeya,, ni ishu ya ndugu, jamaa na marafiki tu kumaliza usipende peleka social network.. labda kama hamuishi vizuri kwa upendo.. epuka sana mitandao kwa ishu za kifamilia

au ishu ya msiba ni ishu ya ndugu , jamaa na marafiki kumalizana nayo...

namalizia kwa kusema pole sana
 
Kwahiyo...kuomba misaada kwenye "internet" tena kila mara,kwa watu usiowajua in a personal level...ni utovu wa akili inayofikiria progressively na ni tabia mbaya!
Hongera kwa kuwa mshauri wa mtandaoni.
Inafaa ukafungua kampuni.
 
Hongera kwa kuwa mshauri wa mtandaoni.
Inafaa ukafungua kampuni.

Sijashauri mtu..ni information nimetoa..wewe uma-categorize kama ushauri..

Ushauri unaelekezwa kwa mtu specific,sijamtaja mtu specific hiyo info iende kwake..

Sifungui kampuni ya chochote kama sijaona undeniable opportunity,sijaona opportunity worthy kufungulia kampuni..na pia sina consulting know how kiivyo..mi nafanya biashara ambazo nina know how nazo...in this im clueless..siwezi peleka miguu humo..labda wewe ufungue sio mimi!
 
Hongera.
 
Na wewe omba CIA watakusaidia

Mkuu,CIA mbona haina any correlation na haya tunayozungumzia?CIA/Kuomba/Internet/Mamdenyi/Wyatt Mathewson = Yaani hakuna uhusiano wowote...

CIA sio shirika la hela,ni shirika la upelelezi

CIA haina stake kwenye internet kiivyo,yenye stake hasa ni NSA

CIA haimtambui Mamdenyi wala Mathewson wala Sodoliki

CIA haina mahusiano yoyote na kutoa misaada ya kifedha,kwanza ni parastatal organization kwa serikali ya Marekani..

Sasa sijui ubongo wako umetoa wapi concept nzima ya CIA na ombaomba ya Mamndenyi!

So hilarious!
 

Utoto unakusumbua......jinga kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…