Shukrani Rais Samia kwa kuendelea kuweka sawa, hapakuwa na sababu za chuki zile

Shukrani Rais Samia kwa kuendelea kuweka sawa, hapakuwa na sababu za chuki zile

Utakua umevimbiwa wewe, huyo mhindi azuiwe ili iweje, mbona wengine hawazuiwi.
Kwa taarifa yako sio muhindi tu hata magari yetu ya kubeba watalii mlizuia kuingia Kenya, mkazuia fastjet kuoparate Kenya kisa walioomba kibali ni watz Ila tulivyojibu mapigo mkaachia wenyewe. Magu aliishi na nyie the way mnavyoishi na sisi, mliigeuza tz shamba la bibi
 
Kwa taarifa yako sio muhindi tu hata magari yetu ya kubeba watalii mlizuia kuingia Kenya, mkazuia fastjet kuoparate Kenya kisa walioomba kibali ni watz Ila tulivyojibu mapigo mkaachia wenyewe. Magu aliishi na nyie the way mnavyoishi na sisi, mliigeuza tz shamba la bibi

Watz wenye akili wanapiga biashara sana Kenya na kunufaika, mivivu tu ndio mpo hapo mnalia lia miaka yote, tatizo mlilemazwa na ujamaa mpaka kwenye akili.
Leo hii hamna Mtanganyika mweusi kwenye matajiri ishirini bora Tanzania, mumetafunwa na Wahindi na Waarab hadi basi.
 
Wakenya ni wabinafsi, na ubinafsi wao ni wa asili, umetokana na ukabila walionao. Mfumo wao wa maisha, biashara, siasa vyote vinaendeshwa kikabila. Nchi ya namna hii usitegemee ikawa na ujirani ulio mwema.

Magufuri alikuwa sawa kabisa, huwezi kuwa na jirani mbinafsi kama kenya ukachekacheka nae.

Huyu mama ni muoga tu, subirini jembe litalokuja baada yake, wembe utakuwa ni ule ule.
 
Watz wenye akili wanapiga biashara sana Kenya na kunufaika, mivivu tu ndio mpo hapo mnalia lia miaka yote, tatizo mlilemazwa na ujamaa mpaka kwenye akili.
Leo hii hamna Mtanganyika mweusi kwenye matajiri ishirini bora Tanzania, mumetafunwa na Wahindi na Waarab hadi basi.
Huko Kenya hali ikoje kwa matajiri? Wote ni wajaluo?
 
Wakenya ni wabinafsi, na ubinafsi wao ni wa asili, umetokana na ukabila walionao. Mfumo wao wa maisha, biashara, siasa vyote vinaendeshwa kikabila. Nchi ya namna hii usitegemee ikawa na ujirani ulio mwema.

Magufuri alikuwa sawa kabisa, huwezi kuwa na jirani mbinafsi kama kenya ukachekacheka nae.

Huyu mama ni muoga tu, subirini jembe litalokuja baada yake, wembe utakuwa ni ule ule.

Ndio maisha ya biashara, lazima uvutie kwako, nyie tatizo lenu bado mnaishi kwa fikira za ujima, mnafikiri dunia ina muda wa kupoteza kwenye pumba za undugu, na ndio maana vigumu sana kwa Mtanzania kutoka kibiashara maana kila akianzisha biashara anafilisishwa na ndugu....
Juzi hata mama Samia alisema Watanzania mnapenda vitu vya bure sana.
 
Hayo maamuzi ya kibabe yameigharimu Tanzania ndege nyingine....

Air Tanzania plane seized in the Netherlands​

 
Hao majirani mnaowapigia debe, wao walishawahi kuwa wema kwa Tanzania?
Tunaskia daily malori kutoka Tanzania yanazuiwa kuingia huko kwao

Mwenda zake alikua na ubabe usiokua na tija kabisa, kuendesha nchi kimabavu mabavu kwenye kila kitu sio poa utaligharimu taifa.
Mindege yenu inakamatwa kiholela, jambo la aibu sana na sijawahi kuskia taifa lolote dunia hii ambapo ndege yao inakamatwa kihivi, inapaswa mfahamu sio watu wote wenye uvumilivu kama sisi mliotia kiberiti vifaranga vyetu..

Fi6BJBAXgAE8tXC
 
Magufuli anaweza kuwa hakuwa sahihi lakini Kenya haijawahi kuwa na nia njema na Tanzania.

Wakenya wanapuzuia mahindi ya Tanzania kwa kusema yana sumu kuvu, miaka na miaka Watanzania wanapata hasara hilo hamlioni ama mnajiandikia tu kama vile mmeshikwa makalio?

Umewahi ku export chochote kwenda Kenya uone adha unayokutana nayo?
Mahindi Kenya ni political. Sasa hivi kuna meli ya tanni 10,000 imezuiwa Port. Corruption, wheeler-dealers na politicians Ina wahusu. Hawataki mahindi kutoka TZ kwamaana bei itakuwa nafuu kwa raia, na hawawezi kuendesha bei
 
Fuatilia takwimu, kuna Watanzania wengi sana wanauza bidhaa Kenya, kila siku malori yanapita mpakani kuja Kenya, uliza wenzako wanafanyaje kuweza kunufaika na hili soko wacha ukajanja mwingi wa kibongo bongo na kulia lia.
Tena sana. Unakumbuka wakati wa Covid bidha ilioza border?
 
Makenya majinga kweli yanataka yaifanye tz kawa sisi ni wajinga, walete bidhaa zao kwetu, walete wafanyakazi na wafungue biashara huku. Ila sisi tukitaka kufanya kwao hawataki, Magu nilimkubali sana alivyowatreat wakenya
Kenya scraps work visa for Tanzanians
Thursday May 06 2021
Kenya has scrapped work visa and permit requirements for Tanzanian nationals in an effort to boost trade and tourism between the two countries.
 
Back
Top Bottom