Kwa taarifa yako sio muhindi tu hata magari yetu ya kubeba watalii mlizuia kuingia Kenya, mkazuia fastjet kuoparate Kenya kisa walioomba kibali ni watz Ila tulivyojibu mapigo mkaachia wenyewe. Magu aliishi na nyie the way mnavyoishi na sisi, mliigeuza tz shamba la bibiUtakua umevimbiwa wewe, huyo mhindi azuiwe ili iweje, mbona wengine hawazuiwi.