Shukrani,Tahadhari na Rai yangu baada ya mchakato wa awali kura ya Maoni Rombo

Shukrani,Tahadhari na Rai yangu baada ya mchakato wa awali kura ya Maoni Rombo

Swali zuri mkuu though kwa upande mwingine hii hali ikiendelea ni nzuri kwa kuboresha demokrasia nchini vinginevyo tukisema huyu ni mwenzetu tumwache mpaka atakapoamua ni kufifisha demokrasia, kikubwa wakati watu wanashiriki kura za maoni kusiwe na hali ya kuleta hujuma
Unajua ile mbwembwe aliyokuja nayo humu jf nikadhani kuna jimbo jipya anaenda kuwania, kumbe ni kwa Selasini. Ni kamanda mwenzangu hata hivyo
 

Tatu,Nawapongeza wajumbe wote walionipigia kura.Sikutumia fedha nyingi.Sikuwashawishi kwa fedha bali kwa hoja zangu.Nina deni la kuwalipa kwa imani hii kubwa walionionyesha.


Ben Saanane

Kwa hiyo wapo waliotumia fedha? Nilidhani Chadema hamna watu wa namna hiyo. Umetoa siri za ndani bila kujijua.
 
Asante sana na Hongera kwa kudhubutu. Mara kadhaa niliwahi kusema kuwa sina shaka na wewe katika mikakati ya kuwasaidia watanzania kujitegemea na kujiletea maendeleo. Bado nina msimamo huo.
 
Bwana mdogo umebarikiwa hekima. Una hekima kuliko wabunge wote wa CCM pamoja na spika wao.
 
RIP Ben Saanane!.
P
Asante sana na Hongera kwa kudhubutu. Mara kadhaa niliwahi kusema kuwa sina shaka na wewe katika mikakati ya kuwasaidia watanzania kujitegemea na kujiletea maendeleo. Bado nina msimamo huo.
Hii akili ya huyu kijana ilikuwa bado inahitajika Chadema na kwa Watanzania.

Gone too soon!..
 
Back
Top Bottom