Shukrani,Tahadhari na Rai yangu baada ya mchakato wa awali kura ya Maoni Rombo

Shukrani,Tahadhari na Rai yangu baada ya mchakato wa awali kura ya Maoni Rombo

Ben Mimi nimekuangalia for while una chance kubwa ya kukuwa kisiasa lakini una safari ndefu Sababu kuna mambo bado unatakiwa kuyadevelop kuweza kuwa na mvuto na ushawishi katika siasa
 
Kamanda nakukubali sana lakini kwanini usinge gombea jimbo jipya..jaribu majimbo mapya
 
Mchakato wa awali wa kura za maoni Rombo katika kinyang’anyiro cha ubunge jimbo la Rombo umekamilika.

Kwanza,Nampongeza sana Mbunge wa Zamani wa Rombo Mhe.Joseph Selasini kwa idadi ya kura alizopata.

Pili,Nawashukuru wagombea wenzangu kwa kunipigia kura nyingi katika kipengele cha Wagombea kupigiana kura

Tatu,Nawapongeza wajumbe wote walionipigia kura.

Nne,Nawashukuru sana marafiki zangu walionipa sapoti kwahali na mali katika mapambano haya.Hakika sikuwahi kujisikia mwana-Familia wa JF kama kipindi hiki.

Nawashukuru sana wanahabari kwa kuwa mstari wa mbele

Ben Saanane
Mkuu Ben, asante kwa maneno haya, umeonyesha ukomavu mkubwa na wa hali ya juu katika medani za kisiasa, kukubali kushindwa, lakini pia kushukuru kwa kidogo ulichopata!, pia najua japo hujalalamika humu, lakini natumaini utakuwa umepeleka malalamiko yako ndani ya vikao rasmi vya chama, ila kwa vile Chadema sio chama sikivu, kule hutasikilizwa, atapitishwa tena Joseph Selasini, and that being the case, na kufuatia track record ya utendani wake, kama CCM wakimsimamisha mtu makini!, Jimbo la Rombo linarejea CCM!.

Hongera for trying, hongera kukubali matokeo!, na hongera kuendelea kuwa mwanachama mwaminifu, mtiifu na mvumilivu wa Chadema, angekuwa mwingine, saa hizi mawazo yake yangekuwa kuelekea kwenye next destination!.

Pasco
 
Nashauri Chama kifanyie mabadiliko Katiba yake. Iwe marufuku kwa mwananchama kuwa mbunge zaidi ya mara mbili katika jimbo ambalo alikuwa mbunge. Hii itasaidia kupanua wigo wa wanachama wengi zaidi kutumikia wananchi.
Mkuu , huu ni ushauri wa busara sana, ili ukiishachaguliwa kiongozi Chadema, unajua deadlines zako, katika kipindi hiki cha miaka 10, Chadema inakuwa iko kwenye mikakati ya kuandaa succession plan, na kama ikitokea jimbo fulani halina able people, grooming inafanyika kabla, mfano jimbo la Moshi mjini, naamini tangu ile 2010 Ndesapesa anarudi, aliishajua hiki ndio kipindi chake cha mwisho, tangu wakati huo succession plan mechanisim would have been in place!.

Hivi ndivyo walivyotaka waasisi wa Chadema, na kipengele hiki kilikuwepo kwenye the original Katiba ya Chadema iliyowasilishwa kwa Msajili wakati Chadema inaundwa!, ila kwenye mabadiliko ya Katiba ya Chadema ya mwaka 2006, kipengele hicho kilinyofolewa kinyemela, na hakuna maelezo yoyote kiliondokaje!. Niliwahi kulizungumzia hili humu, Jee CHADEMA inaendeshwa Kwa Katiba "Fake"?. Japo wengi walinishukia, lakini Mkuu Ben Saanane, ni miongoni mwa wachache walionielewa!. Up to date, hakuna jibu lolote credible, kwa sababu waasisi walikiweka kipengele hicho for a reason, kilipoyeyuka tuu kimya kimya na wahusika kukaa kimya as if nothing has happened, pia it is a reason enough kuwa hakikujiyeyukia tuu hivi hivi just like that!.

May be in future, Chadema kikikua zaidi na kukomaa zaidi hili litawezekana!.

Pasco
 
Ben is very smart..... kwa umri wake mfupi katika siasa za Tanzania unaweza kuona namna anavyojijenga bila papara.... very potential politician in near future..... chama mtengenezeni huyu..... msikwazwe na pressure ya kiu iliyo ndani yake.....taratibu tutafika.....
Mkuu MTAZAMO, naunga mkono hoja, kilichomkuta ZZK ni funzo tosha kwake!.

Pasco
 
Ukiacha Akunay, hakuna mbunge mwingine hadi sasa wa CDM aliyeangushwa katika kura za maoni. Hii inatoa picha fulani beyond Rombo. Kwa maoni yangu ni kuwa nchi nzima, wananchi wanaounga mkono CDM, wanaiunga kwa sababu wanatamani kuiondoa CCM. Hivyo katika majimbo yanayowakilishwa na CDM unaweza kuona kabisa wanaCHADEMA wanaona kama mbunge ndiye kamanda yao katika movement dhidi ya serikali... Kama ni vita basi mbunge anatazamwa kama kamanda wa kikosi aliyeko mbele kabisa.

Wananchi hawajali sana juu ya utendaji wa mbunge kwenye mambo ya maendeleo jimboni maana wanatambua kuwa kizingiti kikubwa ni serikali kuu, ya CCM.

Naamini itakuwa ngumu kidogo, au itahitaji strategy tofauti sana kuwashawishi wanaCHADEMA kuwa "kamanda tuliye naye sasa sio sahihi"...
Mkuu , asante kwa hili, JF n darasa, naamini hili somo Ben Saanane atakuwa amelielewa!.
Pasco
 
Kamanda Ben umekata rufaa ya nini?
 
Kwa nini ulienda kugombea jimbo la Kamanda mwenzio? Kwani alisema hagombei tena?

Swali zuri mkuu though kwa upande mwingine hii hali ikiendelea ni nzuri kwa kuboresha demokrasia nchini vinginevyo tukisema huyu ni mwenzetu tumwache mpaka atakapoamua ni kufifisha demokrasia, kikubwa wakati watu wanashiriki kura za maoni kusiwe na hali ya kuleta hujuma
 
Mkuu , huu ni ushauri wa busara sana, ili ukiishachaguliwa kiongozi Chadema, unajua deadlines zako, katika kipindi hiki cha miaka 10, Chadema inakuwa iko kwenye mikakati ya kuandaa succession plan, na kama ikitokea jimbo fulani halina able people, grooming inafanyika kabla, mfano jimbo la Moshi mjini, naamini tangu ile 2010 Ndesapesa anarudi, aliishajua hiki ndio kipindi chake cha mwisho, tangu wakati huo succession plan mechanisim would have been in place!.

Hivi ndivyo walivyotaka waasisi wa Chadema, na kipengele hiki kilikuwepo kwenye the original Katiba ya Chadema iliyowasilishwa kwa Msajili wakati Chadema inaundwa!, ila kwenye mabadiliko ya Katiba ya Chadema ya mwaka 2006, kipengele hicho kilinyofolewa kinyemela, na hakuna maelezo yoyote kiliondokaje!. Niliwahi kulizungumzia hili humu, Jee CHADEMA inaendeshwa Kwa Katiba "Fake"?. Japo wengi walinishukia, lakini Mkuu Ben Saanane, ni miongoni mwa wachache walionielewa!. Up to date, hakuna jibu lolote credible, kwa sababu waasisi walikiweka kipengele hicho for a reason, kilipoyeyuka tuu kimya kimya na wahusika kukaa kimya as if nothing has happened, pia it is a reason enough kuwa hakikujiyeyukia tuu hivi hivi just like that!.

May be in future, Chadema kikikua zaidi na kukomaa zaidi hili litawezekana!.

Pasco

Succession plan. . . . .hapa ndio pana shida nadhani. . . . .au pako tricky and hazzy. . . . .

Uko sahihi Pasco
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Ben, asante kwa maneno haya, umeonyesha ukomavu mkubwa na wa hali ya juu katika medani za kisiasa, kukubali kushindwa, lakini pia kushukuru kwa kidogo ulichopata!, pia najua japo hujalalamika humu, lakini natumaini utakuwa umepeleka malalamiko yako ndani ya vikao rasmi vya chama, ila kwa vile Chadema sio chama sikivu, kule hutasikilizwa, atapitishwa tena Joseph Selasini, and that being the case, na kufuatia track record ya utendani wake, kama CCM wakimsimamisha mtu makini!, Jimbo la Rombo linarejea CCM!.

Hongera for trying, hongera kukubali matokeo!, na hongera kuendelea kuwa mwanachama mwaminifu, mtiifu na mvumilivu wa Chadema, angekuwa mwingine, saa hizi mawazo yake yangekuwa kuelekea kwenye next destination!.

Pasco

Pasco,

Asante sana kaka.Tafadhali Check Pm yako
 
Last edited by a moderator:
Ben hakika Mungu akujarie hekima zaidi, busara zaidi, maarifa zaidi na ujuzi zaidi nafurahishwa na utilivu na uvumilivu wako. Wewe ni kioo cha watu wote wenye nia ya kuleta MAGEUZI Afrika Mungu wako hatakuacha endelea kuamini kuwa yeye yupo na atakupa zaidi ya unaovyo. Unanivutia sana Ben thanks a lot.
 
Katika ustawi wa kisiasa, mwitikio wa namna hii ni bora sana na unaonyesha ukomavu wa kisiasa
 
Hongera sana na usife moyo wala usiwakwe na tamaa ya kwamba lazima huwe...
 
Makamanda wa chadema hapa tu ndo hunifurahisha!,hongera sana mkuu ben
safari bado ni ndefu tu na utendaji na uvumilivu wako ukitukuka ndani ya chama basi utapata malipo chanya hata kama sio leo basi hata kesho!,na ukumbuke hakuna mbadala wa chadema kwa sasa ,kilichobaki ni kushirikiana na mzee selasini kwenye huu ukombozi wa pili.
Ukifanya ivyo basi siku ukinikuta nakunywa kinywaji changu mahali nitakukaribisha.
 
Back
Top Bottom