Shukrani,Tahadhari na Rai yangu baada ya mchakato wa awali kura ya Maoni Rombo

Shukrani,Tahadhari na Rai yangu baada ya mchakato wa awali kura ya Maoni Rombo

Mi namwambia bado muda wake haujafika anaforce tu at end of the day atapotea kabisa rombo
 
Habari hii ni sawa na ''wabunge 50 kuhamia ACT baada tu ya bunge kuvunjwa''
 
Salaam JF
Naomba mnijuze je ni kweli Kamanda Ben 8 kahamia ACT na kutangaza nia ya kugombea Rombo?
wenu mtiifu
Jasho la damu

Huyo Ben kuliko ajiunge na ACT ningemshauri aipe siasa likizo kidogo akajipange upya! Kwa matukio ya huko nyuma kati yake na Zito itakuwa ni vugumu sana kuaminiwa tena na Zito na watu wake wa karibu, hata kama walishapatana!
 
Me nafurahi sana akina Ben na Yericko wanapojiringanisha na ZZK kwa kufungua thread za kumpondea!!
 
Mtoa mada unauliza ama unatoa taarifa?

Ben Saanane njoo huku.
 
Last edited by a moderator:
Ungekuwa humble hivi miaka yote
na usingejihusisha na mgogoro wa aina yoyote ndani ya CHADEMA
nina uhakika leo ungekuwa unashukuru kupewa nafasi ya kugombea ubunge au chochote kile
anyway...jipange upya...kuna so many opportunities still huko mbele

Tupe ushahidi amejihusisha na migogoro ndani ya chama.
 
Ben ameandika vizuri kupitia ukurasa wake wa fb,kuonesha kuwa yeye bado mwanachama mtiifu wa CDM.Ben hawezi hama,maake kaitumikia sana CDM japokuwa hana bahati ktk harakati zake.Alianzia uenyekiti BAVICHA tena mara mbili akaenguliwa,akajitosa UJUMBE wa kamati kuu jina lake likakatwa kama la EL,Leo ameingia kwenye ubunge yeye mwenyewe anadai kura hazijatosha ila amekata rufaa kamati kuu itaamua.Siasa ni balaa wajameni!
 
Muda wake bado asiwe na papara kama zito halafu rombo hana ushawishi bado
 
Kwa walio Rombo wanajua ukweli Selasini kupita tena kuna kazi ya ziada huo ndio ukweli.
 
Ben ameandika vizuri kupitia ukurasa wake wa fb,kuonesha kuwa yeye bado mwanachama mtiifu wa CDM.Ben hawezi hama,maake kaitumikia sana CDM japokuwa hana bahati ktk harakati zake.Alianzia uenyekiti BAVICHA tena mara mbili akaenguliwa,akajitosa UJUMBE wa kamati kuu jina lake likakatwa kama la EL,Leo ameingia kwenye ubunge yeye mwenyewe anadai kura hazijatosha ila amekata rufaa kamati kuu itaamua.Siasa ni balaa wajameni!

Yaani kura 26 kwa 300 anakata rufaa? Ubunge atausikia redioni tu wana Rombo siasa za fitina na majungu hawazitaki
 
Yaani kura 26 kwa 300 anakata rufaa? Ubunge atausikia redioni tu wana Rombo siasa za fitina na majungu hawazitaki
Sasa unampa ushauri gani?
Je, anaweza kupata gap kwa ukoo wa mapanya bbuku Lumumba street?
 
Back
Top Bottom