Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
- Thread starter
- #201
wape dozi kiongozi!......Imeandikwa utaachana na baba na mama yako, utaambatana na mkeo nanyi wawili mtakuwa kitu kimoja. Umoja wenu ukiunganishwa na makubaliano na mipango yenu kisha MUNGU akaweka KIBALI ndipo watoto hutokezea.
Usisahau: DUNIA NA VYOTE VIIJAZAVYO NI MPANGO WA MUNGU!
WAELEZEE.watoto ni majaaliwa bana.