Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
watoto ni ishu ya kawaida sana katika familia,NA PIA NI MAAJAALIWA!me i dn't want babiez for now!lol....at least four yrs later KAMA ITAWEZEKANA
Nauliza swali; Familia ni nn?
Unajua watu wanategemea baada ya mwaka wakuletee mizawadi kwa baby wewe umepiga hesabu za miaka 4 ijayo lol. Lakini tuliwaambia kuwa kuzaa watoto/mtoto inategemea na mipangilio ya baba na mama.