Shukrani Wakristo kwa upendo, kituo cha redio kinamilikwa na Muislamu ila mmekichangamkia

Shukrani Wakristo kwa upendo, kituo cha redio kinamilikwa na Muislamu ila mmekichangamkia

Status
Not open for further replies.

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kituo cha Wasafi media kinamilikiwa na Muislamu, na kila Jumapili huwa kinapeperusha kipindi cha Kikristo.

Leo hapa naona pamenoga kweli kweli Wakristo wamejumuika na kumsifu Yesu kwa upendo, hapa nawaza dini zingine unakuta hata mgahawa ukimilikiwa na mtu asiye wa dini hiyo hawawezi hata kwenda kunywa chai, yaani unakuta hata kama ukimilikiwa na mtu wa dini yake lazima wahudumu wote wawe wa hiyo dini, hataki mhudumu asiye wa dini yake aguse chakula au kinywaji chochote atakachohudumiwa.

Kwa kweli Wakristo endeleeni kuonyesha kwa matendo, ndio mahubiri ya kweli, ndio njia pekee ya kueleweka, siku zinakuja Wakristo watachukiwa sana na tayari zimefika, wanachinjwa na kukatwa vichwa ila injili wanahubiri tena kwa ujasiri na upendo.

Kwingine wanaandamana kabisa hawataki kanisa lijengwe, ila Wakristo hawalalamiki wanaendelea na maombi tu na kuonyesha upendo

 
Zanzibar ndio wanahuo upumbavu hasa kipindi cha mfungo...
 
Ndo nini hichi ulichoandika mkuu? Wasafi fm ni commercial radio ama ni religional radio?
 
Kituo kinamilikiwa na mwanamziki
Sio kituo cha kiislamu
Ni Kituo cha biashara
Dini ya mmiliki haina nafasi kwenye kituo, maana hata dini yake haikubali muziki anaoufanya.
 
Udini ,ukabila ,ukanda na ujinga ni sehemu ya maisha ya wakenya

USSR

Samahani hii ni gani waislamu wanaandamana kupinga ujenzi wa kanisa
 
Kituo kinamilikiwa na mwanamziki
Sio kituo cha kiislamu
Ni Kituo cha biashara
Dini ya mmiliki haina nafasi kwenye kituo, maana hata dini yake haikubali muziki anaoufanya.

Nimeshuhudia watu wanahoji mgahawa unamilikiwa na mtu wa dini gani kabla kuingia kula
 
Hawa ndio wenye udini

wanapinga huu ujinga wa kuja kuua watu kwa ujinga ...


Screenshot_20230429-200641.png




Nan akubali hii imani ya kuua watu kwa kufunga huoni ni hatari..
Kagame alishazuia una hoja ya kusema na nyie kenya ndo mmeshtuka mtafungia yote ndo mnapata akili.
 
Kwanza Diamond ni muislam jina tu.
Kuna muislam jina na Kuna muislam kwa dini yake.
After all mtoa mada umeshapatiwa elimu hapo juu kwamba Wasafi is not your godamn religious radio, ambacho hujaelewa ni kipi?
 
Kituo cha Wasafi media kinamilikiwa na Muislamu, na kila Jumapili huwa kinapeperusha kipindi cha Kikristo.

Leo hapa naona pamenoga kweli kweli Wakristo wamejumuika na kumsifu Yesu kwa upendo, hapa nawaza dini zingine unakuta hata mgahawa ukimilikiwa na mtu asiye wa dini hiyo hawawezi hata kwenda kunywa chai, yaani unakuta hata kama ukimilikiwa na mtu wa dini yake lazima wahudumu wote wawe wa hiyo dini, hataki mhudumu asiye wa dini yake aguse chakula au kinywaji chochote atakachohudumiwa.

Kwa kweli Wakristo endeleeni kuonyesha kwa matendo, ndio mahubiri ya kweli, ndio njia pekee ya kueleweka, siku zinakuja Wakristo watachukiwa sana na tayari zimefika, wanachinjwa na kukatwa vichwa ila injili wanahubiri tena kwa ujasiri na upendo.
Kwingine wanaandamana kabisa hawataki kanisa lijengwe, ila Wakristo hawalalamiki wanaendelea na maombi tu na kuonyesha upendo

Mkenya na ubaguzi na sawa na chupi na trako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom