Shukrani Wakristo kwa upendo, kituo cha redio kinamilikwa na Muislamu ila mmekichangamkia

Shukrani Wakristo kwa upendo, kituo cha redio kinamilikwa na Muislamu ila mmekichangamkia

Status
Not open for further replies.
JamiiForums Moderator Maxence Melo Active Paw Boqin Mhariri nimalizie na Cookie najua wewe uko active kufuatilia mijadala labda unaweza kufanyia kazi hili.

Huyu mtu amekuwa na uchochezi mkubwa wa kidini ,kuandika mambo ya uzushi ilimradi kuchonganisha na kila mara hata kitu kisichohusiana na mambo ya kidini lazima alete uchochezi ila amekuwa akiachwa sana bila kuonywa sasa sijui na nyinyi mna agenda gani na huyu mtu.

Humu kuna mijadala minginya kidini watu wanajadili kwa hoja na facts kuhusiana na mambo mbalimbali ,lakini huyu mtu amekuwa tofauti yeye ni mtu wa uchochezi tu na kuandika vitu vya uongo mfano wa hilo aliliniQuote hapo juu.

Hapa Tz sidhani kama tumefikia hiyo level ya chili kiasi hiki wakati muda wote watu wanaishi nyumba moja za kupanga ,kuombana chimbo ,kupeana chakula na kusaidia katika misiba na mambo mbalimbali .Sasa mtu kama huyu anapoachwa kupandikiza mbegu za chuki hakuoni kwamba kuna athari kubwa katika umoja na mshikamano wa jamii ?

Haya maandamano ya kupinga ujenzi wa kanisa yamefanywa kwenye nchi gani, uzuri Wakristo wanajibu hizo chuki zenu kwa upendo.
Wazee watu wazima kanisa wanaongoza kuandamana dhidi ya kanisa.

 
Haya maandamano ya kupinga ujenzi wa kanisa yamefanywa kwenye nchi gani, uzuri Wakristo wanajibu hizo chuki zenu kwa upendo


Huu si uzi tayari upo muda mwingi na ushajadiliwa kwa hoja na kuonyesha usahihi na pasipokuwa na usahihi ?

Hii mada ya kuhusu redio umeshinda kutetea unaingizia kitu kingine tofauti na mada unajiona upo sawa ?
 
Hili
Kituo cha Wasafi media kinamilikiwa na Muislamu, na kila Jumapili huwa kinapeperusha kipindi cha Kikristo.

Leo hapa naona pamenoga kweli kweli Wakristo wamejumuika na kumsifu Yesu kwa upendo, hapa nawaza dini zingine unakuta hata mgahawa ukimilikiwa na mtu asiye wa dini hiyo hawawezi hata kwenda kunywa chai, yaani unakuta hata kama ukimilikiwa na mtu wa dini yake lazima wahudumu wote wawe wa hiyo dini, hataki mhudumu asiye wa dini yake aguse chakula au kinywaji chochote atakachohudumiwa.

Kwa kweli Wakristo endeleeni kuonyesha kwa matendo, ndio mahubiri ya kweli, ndio njia pekee ya kueleweka, siku zinakuja Wakristo watachukiwa sana na tayari zimefika, wanachinjwa na kukatwa vichwa ila injili wanahubiri tena kwa ujasiri na upendo.

Kwingine wanaandamana kabisa hawataki kanisa lijengwe, ila Wakristo hawalalamiki wanaendelea na maombi tu na kuonyesha upendo


Taifa lina watu wapumbavu sana na mlaaniwe ikiwemo wewe mtoa mada! Kwahiyo wasafi ni taasisi ya dini? Mbwa koko wewe
 
Huu si uzi tayari upo muda mwingi na ushajadiliwa kwa hoja na kuonyesha usahihi na pasipokuwa na usahihi ?

Hii mada ya kuhusu redio umeshinda kutetea unaingizia kitu kingine tofauti na mada unajiona upo sawa ?

Imebidi nikukumbushie chuki zenu kwa tukio ambalo lina uzi tayari, maana umeshindwa kujikita kwenye hoja za huu uzi....
 
Hili

Taifa lina watu wapumbavu sana na mlaaniwe ikiwemo wewe mtoa mada! Kwahiyo wasafi ni taasisi ya dini? Mbwa koko wewe

Wasafi sio dini ila inamilikiwa na muislamu, sasa nyie hata kula kwenye mghahawa wa mtu asiye muislamu huwa nongwa....
 
Kwa ufafanuzi tu... Wasafi media inamilikiwa na kusaga chini ya mwamvuli wa mkewe Juhayna kusaga-...

On paper...katika makaratasi ya TCRA...inamuonyesha Nasib abdul (Diamond) kama second shareholder 49💯..... Lakini kiuhalisia anatumiwa kama brand tu...na analipwa commission tu!

Kataa au kubali! Huo ndio uhalisia ulivyo.
 
Hiyo redio iongeze masafa ili isikike na mikoani. Ila kuna redio zinazomilikiwa na madhehebu fulani hapigi nyimbo au kuweka mahubiri yasiyo ya dhehebu lao. Kuhusu ajira kuna waajiri wanafanya vizuri sana, wamejaza wafanyakazi wasio na dini na imani yao, tena wanatinga studioni huku wamevaa mavazi maarufu kwa dini yao
 
Hiyo redio iongeze masafa ili isikike na mikoani. Ila kuna redio zinazomilikiwa na madhehebu fulani hapigi nyimbo au kuweka mahubiri yasiyo ya dhehebu lao. Kuhusu ajira kuna waajiri wanafanya vizuri sana, wamejaza wafanyakazi wasio na dini na imani yao, tena wanatinga studioni huku wamevaa mavazi maarufu kwa dini yao

Kituo cha dini ni sahihi kutokupiga miziki isiyo ya dini yake, ila kituo kumilikiwa na mtu wa dini nyingine na kupeperusha vipindi vya dini isiyo yake ni dhihirisho la upendo, sasa ukija upande wa pili kuna watu hata kula kwa mghahawa usiomilikiwa na mtu wa dini yake ni mwiko.

Huyo Diamond au Nasibu juzi kashambuliwa issue ndogo tu chuki aisei

 
Mleta mada bila shaka ulipigwa talaka na muislamu maana sio kwa chuki hizo kila siku,

Hiyo haiwezi kukusaidia,jitulize ili upate posa nyingine.
 
Dili kwanza na ndugu zako waliokufa kwa kushindishwa njaa,najua umeanzisha hii thd ili kudivert issue ya wagalatia wenzako kufa kwa njaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom