Shukrani Wakristo kwa upendo, kituo cha redio kinamilikwa na Muislamu ila mmekichangamkia

Shukrani Wakristo kwa upendo, kituo cha redio kinamilikwa na Muislamu ila mmekichangamkia

Status
Not open for further replies.
Mkenya tuache basi jaman dili na urusi na Ukraine
Ya Tanzania tuachie wenyewe
 
Siukubali udini ila Kuna mahala wenzetu misimamo Yao mengi hayana utu ndani
Hana hoja kila siku😂😂wala hazina mashiko kanisa majuzi watu wameuliwa na lile gaidi lichungaji na yapo kibao je alileta uzi na waliokufa ni ndugu zake.


Huyo ni Max simba alishakula ban kakonda kwa kuwachukia waislamu yaani hyo ni dhamira kila uzi unafikria ana kazi ...



Huyo yupo tayar kuua waislamu kwa njia yeyote ile ila anashindwa tu😂😂
 
wanapinga huu ujinga wa kuja kuua watu kwa ujinga ...


View attachment 2604568



Nan akubali hii imani ya kuua watu kwa kufunga huoni ni hatari..
Kagame alishazuia una hoja ya kusema na nyie kenya ndo mmeshtuka mtafungia yote ndo mnapata akili.

Shukrani, ndio hicho nilikua nazungumza kuhusu, udini wenu na chuki.
 
Shukrani, ndio hicho nilikua nazungumza kuhusu, udini wenu na chuki.
Ona ulivyokuwa mpumbavu waliokufa si ndugu zako anza pale Moshi walipokanya mafuta ...Bado kuna mchungaji kaua watu zaidi ya mia ,kumbuka kibwetere.

kuna huyo nae kaua watu kibao na yupo under investigation ...

Amka toka usingizini Kagame alishafungia huu ujinga ni biashara ya utapeli 😂😂😂
 
90 percent ya post za mtoa mada no za kuchonganisha watu Kwa dini na mods wanamuacha Tu ..
Maxence Melo Paw Cookie ..

Wasafi inamilikiwa na Joseph Kusaga.....ambao ndo wamiliki wa clouds ....

Huyu mkenya mada zake zote ni kuponda waislam na mnamchekea why?

Wacha povu, ndio zenu mkiambiwa ukweli, na mtaambiwa mpaka mwisho


screenshot_20210729-170211-png.1873021


screenshot_20210729-170142_1-jpg.1873025
 
Kwanza Diamond ni muislam jina tu.
Kuna muislam jina na Kuna muislam kwa dini yake.
After all mtoa mada umeshapatiwa elimu hapo juu kwamba Wasafi is not your godamn religious radio, ambacho hujaelewa ni kipi?

Nyie hata kula kwa mghahawa unaomilikiwa na mtu asiye muislamu huwa mwiko.....
 
Kusaga ana 52% ya Wasafi Media, sio mfuasi wa mtume
 
Hana hoja kila siku😂😂wala hazina mashiko kanisa majuzi watu wameuliwa na lile gaidi lichungaji na yapo kibao je alileta uzi na waliokufa ni ndugu zake.


Huyo ni Max simba alishakula ban kakonda kwa kuwachukia waislamu yaani hyo ni dhamira kila uzi unafikria ana kazi ...



Huyo yupo tayar kuua waislamu kwa njia yeyote ile ila anashindwa tu😂😂
Huwezi ua wenzako ukabaki salama,balance of nature haihitaji kubaguana waislamu wapo Kwa Akili ya wakristo and vice versa
 
We jamaa huna akili kabisa, sijaona mantiki ya huu uzi wako halafu unakuta kipuuzi michache ikiongozwa na jiwe angavu inakusapoti.

Chanel Ten ,ITV , Clouds nk huko kote sio vyote vinamilikiwa na Waislamu lakini kuna vipindi vya kiislamu tokea zamani na hukuti Muislamu aanzishe uzi wa kipimbi wa kidini namna hii ?

Udini wako unakusumbua unakuta Tz hatuna mambo ya kishamba namna hiyo unakuja kuleta pigo za kike na kiukewenza kujifu kununuliwa nguo mpya na Mume.
 
We jamaa huna akili kabisa, sijaona mantiki ya huu uzi wako halafu unakuta kipuuzi michache ikiongozwa na jiwe angavu inakusapoti.

Chanel Ten ,ITV , Clouds nk huko kote sio vyote vinamilikiwa na Waislamu lakini kuna vipindi vya kiislamu tokea zamani na hukuti Muislamu aanzishe uzi wa kipimbi wa kidini namna hii ?

Udini wako unakusumbua unakuta Tz hatuna mambo ya kishamba namna hiyo unakuja kuleta pigo za kike na kiukewenza kujifu kununuliwa nguo mpya na Mume.

Inamilikiwa na muislamu ila Wakristo wanaichangamkia, lakini nyie hata kula kwa mghahawa usiomilkiwa na muislamu huwa mwiko, hamtaki mhudumiwe na kafir, mna chuki sana
Huu hapa umiliku wa wasafi Hawa ndio wamiliki halali wa WASAFI LIMITED
 
Inamilikiwa na muislamu ila Wakristo wanaichangamkia, lakini nyie hata kula kwa mghahawa usiomilkiwa na muislamu huwa mwiko, hamtaki mhudumiwe na kafir, mna chuki sana
Huu hapa umiliku wa wasafi Hawa ndio wamiliki halali wa WASAFI LIMITED
JamiiForums Moderator Maxence Melo Active Paw Boqin Mhariri nimalizie na Cookie najua wewe uko active kufuatilia mijadala labda unaweza kufanyia kazi hili.

Huyu mtu amekuwa na uchochezi mkubwa wa kidini ,kuandika mambo ya uzushi ilimradi kuchonganisha na kila mara hata kitu kisichohusiana na mambo ya kidini lazima alete uchochezi ila amekuwa akiachwa sana bila kuonywa sasa sijui na nyinyi mna agenda gani na huyu mtu.

Humu kuna mijadala minginya kidini watu wanajadili kwa hoja na facts kuhusiana na mambo mbalimbali ,lakini huyu mtu amekuwa tofauti yeye ni mtu wa uchochezi tu na kuandika vitu vya uongo mfano wa hilo aliliniQuote hapo juu.

Hapa Tz sidhani kama tumefikia hiyo level ya chili kiasi hiki wakati muda wote watu wanaishi nyumba moja za kupanga ,kuombana chimbo ,kupeana chakula na kusaidia katika misiba na mambo mbalimbali .Sasa mtu kama huyu anapoachwa kupandikiza mbegu za chuki hakuoni kwamba kuna athari kubwa katika umoja na mshikamano wa jamii ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom