Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Uchaguzi umekwisha,tulikupa imani na umeshinda! Ukiwa mdau wa michezo,hususan soka kwa muda mrefu nataraji uongozi wako utupeleke pale Tenga aliposhindwa kutufikisha! Ni imani yetu hutatuangusha kwa kulewa madaraka kama ilivyo kwa viongozi wengine wa kada tofauti na soka!