jamani mbona wengine hatujui kama kuna kukutana!!!! Tupasheni kidogo basi?
hehehehe!
tuliwahi kuhama baa kwa ongezeko la sh 50 kwenye kinywaji!....
ukiniuzia bia sh 2000 naweza kukupeleka mahakamaniπ
Sasa mafuta mliyotumia kuhama baa si yangetosha kugharimia hilo ongezekola thamani? π
Labda kama mtaniruhusu nije na mhudumu wa kujitegemea. Mi nikifunguliwa bia na mwanaume napata kichefuchefu!
Unajua mkuu hapo beer ni 2000 na kuendelea tulikaa hapo na Geoff kama nyie premium member wanaweza kufanya 1500 basi bei ya kawaida. Unajua kwa mnywaji sh.100 inamuhamisha bar na kuhamia bar ingine. Kwenye vinywaji sh.100/= kubwa sana.
Hahahahahah! Nimecheka kwa sauti! Hujatulia kabisa!!
Masaki we unakula bia?
hanywi bia huyo anakunya grants,wisk etc
Unauliza makofi polisi? Nakula bata kwa kwenda mbele! π
Hebu nambie bia inanoga ikifunguliwa na mhudumu jinsia gani? Be frank.
Duh kumbe kulikuwa na get 2gether ya uchoyo uchoyo mbona hatukutaarifiana wadau?
Hata mimi kimeniuma, wanaJF uchoyo umeanza lini tena??? Sasa michango yetu nani tumpe???? njoo uchukue na ya kwetu.
Hata mimi kimeniuma, wanaJF uchoyo umeanza lini tena??? Sasa michango yetu nani tumpe???? njoo uchukue na ya kwetu.
Jinsia ya mhudumu kwangu haijalishi kabisa! Mimi kwenye bia mkuu huwa sitaki huduma ikauke, ndio maana huwa nakaa kaunta, ili huduma iwe ya kata mti, panda mti! Sasa ni mara chache sana kukuta mhudumu wa kaunta ni mwanamke!
Nyie mnaopenda kukaa chodo mkiwa baa ndio huwa mnahudumiwa zaidi na wahudumu wa kike! π
jamani muwe mnasoma thred ili msilalamike,mm nakaa na michango so kama unamchangowako sema uko wapi nitafwata ni pm no yako ntakupigia for more maelezo
Hahaha! Danganya toto kula kande mbichi! Mi mwenyewe mzee wa kaunta! Uzuri wa kaunta wahudumu wote lazima waje hapo......... Life goes on!