Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Your browser is not able to display this video.

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya Jakaya Kikwete kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye changamoto ya viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha.

Kweli siasa ni nyokooo!!
 
Mtihani sana mi ndio maana nasema tafuta hela ukiwa kijana ishi maisha ya furaha ukiwa kijana
Hakuna furaha kwenye uzee kwamba una hela au huna hakuna furaha kwenye uzee
Mzee mwenye hela na asie na hela wote wanaumia
 
Wenyewe CCM wanasema huu ndiyo wakati wa kupigishana shoti,hapo Kawambwa keshapigwa shoti.

Mbunge wa sasa wa Bagamoyo anaangalia hii video huku anatabasamu.

Uchaguzi umekaribia tutashuhudia vituko vya kila aina.
Hapo siasa za uchaguzi zinaanzia wapi? Mbona mimi naona kama Waziri mstaafu yuko kwenye mishe za utafutaji baada ya kufulia kifedha
 
Mwanawe wa dhahabu jk anadhalilika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…