Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Hili ni funzo kwa wengine.
Wala hajarogwa huyu.
Na wengine wanazidi kufulia vilevile.
Hawakutenda haki katika nafasi zao..
Wanachapika na nguvu ya asili.
 
Mtihani sana mi ndio maana nasema tafuta hela ukiwa kijana ishi maisha ya furaha ukiwa kijana
Hakuna furaha kwenye uzee kwamba una hela au huna hakuna furaha kwenye uzee
Mzee mwenye hela na asie na hela wote wanaumia
Ndiyo unajidanganya hivyo? Nenda Ualaya uone. Hakuna watu wanaoishi maisha mazuri kama wastaafu.
 
Back
Top Bottom