Shule bora Kilimanjaro hii hapa, mlete mwanao, tunakuhakikishia atakuwa wa kwanza kwa kila jambo

Ni kweli, Ni ya kijnga lakini Kama haijafutwa hatuna Budi kuifata
 
Nataka Mwanangu aingie hapo,nipe utaratibu
 
Soma alieuliza kwanza, aliuliza kwamba, hataki wanawe wawe kama nanii,

Na Mimi nikajibu ,hawezi kuwa Kama nanii,sisi tunatoza full mawaziri!
Jibu swali ilo"Weka matokeo ya shule kwa miaka mitatu mfululizo form 2 na 4 alaf tuambie strategy za shule sio kusema wanapata kazi serikalini huu ni uongo bhana .

Tuambie shule imekua ya ngapi ki wilaya mkoa na taifa ufaulu umeongezeka kwa kiwango gani kwa miaka mitatu mfululizo je imepanda au imeshuka na unipe sababu za ufaulu kupanda.

Je kuna tuzo yoyote ya ubora wa shule mlioipata mfano kuna shule ipo wilaya ya mwanga nikiwa dodoma mwezi Wa sita walipokea tuzo ya kuboresha ufaulu kwa miaka mitatu mfululizo tena ni shule ya kata. je wewe shule yako imepata kitu gani na ukiweke hapa tukione.

Unakuja kutangaza shule badala shule ijitangaze biashara inajulikana ila hamna shule hapo"
 
Nitakujibu mkuu
 
Nilivyofika tu hapa

'Ni shule pekee ambayo wahitimu wake wote waliomaliza vyuo wamepata ajira serikali na sekta binafsi'

Nikaacha na kusoma.. promo za aina hii ni za kijinga na kitoto sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…