Shule ilitupotezea muda ndomana tunateseka

Shule ilitupotezea muda ndomana tunateseka

Kila nikikumbuka nilivyokuwa napambana kusoma shuleni ilihali nije kuishi Maisha mazuri baadae naumia sana

Kweli nimeamini shule ilinipoteza muda mno
Nyanda Banka nakukumbuka kwenye debate kipindi tunasoma, siku unatetea "education is better than money" ulitetea Kwa nguvu Hadi misuli ya shingo ikakutoka, nilipojarbu kukupinga ukanikaba Hadi vifungo vya shati vikakatika..

Saa hizi kila siku tunasikia Ukunga tu hapa jeiefu
 
Vijana mnakwenda kusoma mnapata ma boom mnaenda kuruka majoka kidimbwi na kunyooshea milupo , mnashindwa kuanzisha vimiradi huko chuo ,siku mkimaliza mnazunguka na pc kutwa kuchwa na vi slipa , mambo yakiwa magumu mnaanza kulalama .

Siku nikiwa raisi nitawanyoosheni vilivyo vijana legelege sana hawa😠
 
Vijana mnakwenda kusoma mnapata ma boom mnaenda kuruka majoka kidimbwi na kunyooshea milupo , mnashindwa kuanzisha vimiradi huko chuo ,siku mkimaliza mnazunguka na pc kutwa kuchwa na vi slipa , mambo yakiwa magumu mnaanza kulalama .

Siku nikiwa raisi nitawanyoosheni vilivyo vijana legelege sana hawa😠
Unadhani hawatakuwepo makanali watiifu Kwa wananchi wakakutia vidole na kuisababusha Dunia kulaani kitendo chao?
 
Unadhani hawatakuwepo makanali watiifu Kwa wananchi wakakutia vidole na kuisababusha Dunia kulaani kitendo chao?
Bado sijakuelewa mkuu ulicho kimaanisha ila nahisi umenitukana😜😜😜.

Wakati sie tupo chuo tunazungusha vyupi na sidiria tupate Mia Mia, nyie vibumu vyenu mnavinjari na totozi , mkafikiri sisi hatukuwa na upwiru 😁😁😁 acheni kiwarambe mamaaaaaae.
 
Kila nikikumbuka nilivyokuwa napambana kusoma shuleni ilihali nije kuishi Maisha mazuri baadae naumia sana

Kweli nimeamini shule ilinipoteza muda mno
Haijakupotezea muda ni kwamba huna connection,wenye connection wanamaliza wanaingia vitengoni.

Kuna ambao wanashukuru Mungu kwa kupata elimu na kuna wanao laumu


Huna connection Muombe Mungu wako sana na upambane,utatoboa
 
Siku ukijua dunia haihitaji ulelemama utafuta ulichoandika.

Yaani dunia haitaki umlaumu mtu au kitu, hairudi nyuma yenyewe ni mbelembele tu. Huko nyuma tumia kama historia na rejea tu huku ukiendelea kupiga kwata kusonga mbele.

Ukikaa kinyonge ati ujute na kusikitika, dunia inakuacha na haikupi support kukushika bega kukutia moyo badala yake inakulamba mikwaju ya kulala njaa, kuumwa, madeni na majanga ya kutia mimba mwanafunzi ili ushike tama na kujuta vizuri.
Wanaoshindwa na mikwaju kuwalemea unaona anajitundika au kunywa sumu ila options zipo ni vile akili unakua umeistakisha kwenye kuilaumu elimu ati haijakusadia.

Kijana AMKA.
 
Shule inawapotezea sana muda vijana.

Unapoteza miaka 20 shulenii, halafu ukimaliza unaambiwa HAKUNA KAZI KAENDESHE BODABODA!

ATI?

Kwanini usingeanza kuendesha hiyo bodaboda toka zamani wakasubiri mpaka upoteze miaka ishirini ndio wakwambie ukaendeshe bodaboda?

Umepoteza muda, wakati, fedha na mali, na zaidi utaambulia MSONGO WA MAWAZO, AIBU NA PSYCHOLOGICAL TORTURE.

Serikali iache kupotezea watu muda. HUU NDIO UKWELI.

Nashauri elimu ya sekondari na chuo ifutwe au IPUNGUZWE KABISA, watu wakasome VETA au WAKALIME.

Chuo kisizalishe watu zaidi ya hamsini kwa mwaka. BINYA KABISA ILE HIERARCHY YA ELIMU YA JUU IWE PYRAMID FINYU KABISA KUELEKEA JUU, wengine wote waishie chini huku kwenye kazi za mikono, kilimo, ufundi na ubunifu.

TUSIPOTEZEANE MUDA!! Kwa elimu gani baanaa??? WHAT IS MAJI MAJI WAR?? Eboooo!!!!!

Cc: Dkt. Gwajima D ndalichako mwigulu Nchemba

Cc: Lamomy
 
Siku ukijua dunia haihitaji ulelemama utafuta ulichoandika.

Yaani dunia haitaki umlaumu mtu au kitu, hairudi nyuma yenyewe ni mbelembele tu. Huko nyuma tumia kama historia na rejea tu huku ukiendelea kupiga kwata kusonga mbele.

Ukikaa kinyonge ati ujute na kusikitika, dunia inakuacha na haikupi support kukushika bega kukutia moyo badala yake inakulamba mikwaju ya kulala njaa, kuumwa, madeni na majanga ya kutia mimba mwanafunzi ili ushike tama na kujuta vizuri.
Wanaoshindwa na mikwaju kuwalemea unaona anajitundika au kunywa sumu ila options zipo ni vile akili unakua umeistakisha kwenye kuilaumu elimu ati haijakusadia.

Kijana AMKA.
Kweli huku Duniani hakuhitaji wanaume lelemama 😄😄😄
Ukikaa vibaya Dunia inakupiga Mikwaju ya kutosha
 
Back
Top Bottom