Shule ilitupotezea muda ndomana tunateseka

Shule ilitupotezea muda ndomana tunateseka

Siku ukijua dunia haihitaji ulelemama utafuta ulichoandika.

Yaani dunia haitaki umlaumu mtu au kitu, hairudi nyuma yenyewe ni mbelembele tu. Huko nyuma tumia kama historia na rejea tu huku ukiendelea kupiga kwata kusonga mbele.

Ukikaa kinyonge ati ujute na kusikitika, dunia inakuacha na haikupi support kukushika bega kukutia moyo badala yake inakulamba mikwaju ya kulala njaa, kuumwa, madeni na majanga ya kutia mimba mwanafunzi ili ushike tama na kujuta vizuri.
Wanaoshindwa na mikwaju kuwalemea unaona anajitundika au kunywa sumu ila options zipo ni vile akili unakua umeistakisha kwenye kuilaumu elimu ati haijakusadia.

Kijana AMKA.
Nakumbuka hata mimi nilipomaliza chuo nilikula mikwaju ya kutosha mtaani ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Nilikomaa kiume mpk nikatoboa
 
Shule inawapotezea sana muda vijana.

Unapoteza miaka 20 shulenii, halafu ukimaliza unaambiwa HAKUNA KAZI KAENDESHE BODABODA!

ATI?

Kwanini usingeanza kuendesha hiyo bodaboda toka zamani wakasubiri mpaka upoteze miaka ishirini ndio wakwambie ukaendeshe bodaboda?

Umepoteza muda, wakati, fedha na mali, na zaidi utaambulia MSONGO WA MAWAZO, AIBU NA PSYCHOLOGICAL TORTURE.

Serikali iache kupotezea watu muda. HUU NDIO UKWELI.

Nashauri elimu ya sekondari na chuo ifutwe au IPUNGUZWE KABISA, watu wakasome VETA au WAKALIME.

Chuo kisizalishe watu zaidi ya hamsini kwa mwaka. BINYA KABISA ILE HIERARCHY YA ELIMU YA JUU IWE PYRAMID FINYU KABISA KUELEKEA JUU, wengine wote waishie chini huku kwenye kazi za mikono, kilimo, ufundi na ubunifu.

TUSIPOTEZEANE MUDA!! Kwa elimu gani baanaa??? WHAT IS MAJI MAJI WAR?? Eboooo!!!!!

Cc: Dkt. Gwajima D ndalichako mwigulu Nchemba

Cc: Lamomy
Ushaona boda ana maisha mazur au unaongea kirahis tu acha kupotosha ujinga baoda boda wengi ni teseka na chumba kimoja na nawatot 3 wamerundikan humo ndani maisha sio kitu rahisi wengi wao waliosma wametoboa maisha ila acha shule sema nakomaa na mtaa kwa ground maisha ni magumu msidanganye vijana tumeona vijana wengi wakitabika na kuteseka walioshia la saba na form 4 maisha hayajawai kuwapa furaha zaidi ya mateso makubwa ingawa kuna muda tunasem serikali yetu imechangia kuleta janga huwez acha wasomi kibao mtaani na kuchukua machawa kuacha kuajir na kukomalia ujinga wa kusifiana kwa ulimbavu sasa mguu wangu hadi kweny ofis za rais nataka kazi nimechoka kuteseka wao wakila maisha bora na familia zao waniue sasa
 
Una kuta kuna kijana alisoma bila mkopo,maana yake alisomeshwa na wazazi kwa kulipiwa ada ya fedha z matumizi Kisha huyo kijana anamaliza unakuta analalamika kuwa anakosa cha kufanya huwa namuona kama hamnazo.
Kama una mzazi ambaye aliwez kukotolea ada na kukupa hela ya matumizi anashindwaje hata kumuomba akutafutie 1M uuanze kujichanga kwa biashara ndogo
 
Back
Top Bottom