Tatizo wananchi wanataka elimu bure.Ushawahi sikia private school wameagizwa mifagio? Always cheap is expensiveUsafi ni muhimu lakini mengine yanawezwa kuingizwa kwenye Ada wakajua kuyachanganua hukohuko
Mada inasema amekataliwa kupokelewa kwa sababu kuna vifaa hana, hakuna shule inayokataa kumpokea mwanafunzi sababu hana kitabuSasa wewe mpumbavu mwanao unampelekaje shule bila vitabu si bora abaki nyumbani tu,seems hata nursery hujawahi kupeleka mtoto
Ni wajinga sanaWanataka vya Bure na Kodi hawalipi,iwe Ili vya Bure lipeni Kodi harafu Serikali itenge Bajeti za kuendeshea shule Ili zinunue hayo mahitaji.
Haya majamaa ndio yanadanganywa na Machadema huko yanajua labda siku Chadema ikishika Dola kutakuwa na Bure ππ
Nenda kwa afisa elimu sekondari.akigoma nenda kwa mkurugenzi.akichomoa ita MAGAZETI andika habari.Habari Watanzania,
Nawasalimu kwa jina la muungano..
Nina kero yangu haswa kwa shule za advance wanaopokea kidato cha tano Walimu wakuu wanachukua maamuzi ya kukataa kumpokea Mtoto ikiwa tu hajamaliza michango na vifaa vingine kama vile vya usafi ukiangalia umbali uliotoka na Mtoto ni mbali sana.
Mfano mimi mwanangu kapangiwa Kibaigwa Girls iliyopo Dodoma, Mwalimu mkuu na makamo Mkuu wa shule wamenigomea kumpokea Mtoto kisa nimelipia nusu ya pesa za michango na sijakamilisha vifaa vya usafi ukizingatia nimetokea mkoa wa Mtwara
Sijui cha kufanya, naomba waziri husika kufuatilia hili jambo, wazazi tunashindwa kuwapeleka shule mapema watoto kutokana na hizi changamoti.
Naomba kuwasilisha
π€
Mzazi awajibike bana... Kama ameweza kulipia Bundle vifaa vya mwanae vitamshinda?Nenda kwa afisa elimu sekondari.akigoma nenda kwa mkurugenzi.akichomoa ita MAGAZETI andika habari.
Utakuja kunishukuru
Kwani akiandika magazeti ndio itakuwa nini?Nenda kwa afisa elimu sekondari.akigoma nenda kwa mkurugenzi.akichomoa ita MAGAZETI andika habari.
Utakuja kunishukuru
Mpeleke kwenye shule ambayo wewe ukisoma Bure ndio tutajua nani mpumbavu wewe au mtoa madaHio Shule ni wapumbavu sana hao walimu
Ushauri bure kabisa,Sasa afisa elimu ndio atampa ndoo ya kuogea na kufulia mtoto,?afisa elimu ndio anataka watoto wakae maeneo machafu bila kufagia?anunue tu mfagio na ndoo ampe mtotoNenda kwa afisa elimu sekondari.akigoma nenda kwa mkurugenzi.akichomoa ita MAGAZETI andika habari.
Utakuja kunishukuru
Hizo sio shida zetu.Habari Watanzania,
Nawasalimu kwa jina la muungano..
Nina kero yangu haswa kwa shule za advance wanaopokea kidato cha tano Walimu wakuu wanachukua maamuzi ya kukataa kumpokea Mtoto ikiwa tu hajamaliza michango na vifaa vingine kama vile vya usafi ukiangalia umbali uliotoka na Mtoto ni mbali sana.
Mfano mimi mwanangu kapangiwa Kibaigwa Girls iliyopo Dodoma, Mwalimu mkuu na makamo Mkuu wa shule wamenigomea kumpokea Mtoto kisa nimelipia nusu ya pesa za michango na sijakamilisha vifaa vya usafi ukizingatia nimetokea mkoa wa Mtwara
Sijui cha kufanya, naomba waziri husika kufuatilia hili jambo, wazazi tunashindwa kuwapeleka shule mapema watoto kutokana na hizi changamoti.
Naomba kuwasilisha
π€
Wewe umezaa na unataka serikali ndio ikusomeshee mtoto na imlipie kila kitu?
Itakua umri umeenda sana mkuu kipindi iko shule zenu zina maktaba,eti usome vitabu vya shule kipindi hiki,by the way hongera kwa kwenda shule mkuuMada inasema amekataliwa kupokelewa kwa sababu kuna vifaa hana, hakuna shule inayokataa kumpokea mwanafunzi sababu hana kitabu
Inaonuesha hujawahi hata kwenda shule, tuliosoma tunajua vitabu sio lazima kwenda navyo mara ya kwanza unavyoripoti, unaweza kutumia vitabu vya shule, au ukaazima vya wanafunzi wenzako...mada za shule achia walioenda shule wajadili