Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM huwa hawachaguliwi ila ni waporaji wa ushindi.Hivi watoto wanaosoma kwenye shule kama hii, Wazazi wao nao huwa wanapiga kura kumchagua Diwani, Mbunge na Rais??? Napata picha kwanini Mgombea fulani hakwenda kupiga kampeni kwenye baadhi ya Mikoa. Na angekuja tulikuwa tumeuandaa uwanja wa shule hiyo kufanyia mkutano wake wa kampeni.
Itakuwa ipo Lupaso. Huwezi kuiona Chato.View attachment 1686628
Hawa ni watoto wanaotegemewa kufaulu kwa alama za juu. Hii ndiyo nguvu kazi ya
View attachment 1686628
Hawa ni watoto wanaotegemewa kufaulu kwa alama za juu. Hii ndiyo nguvu kazi ya
Humu ndimo ccm inakojipatia wafuasi wake waaminifuView attachment 1686628
Hawa ni watoto wanaotegemewa kufaulu kwa alama za juu. Hii ndiyo nguvu kazi ya
Waje tuwapandishe ndege zetu nane, tuwazungushe angani kisha tuwarudishe darasani, itawaamsha ari ya kusoma kwa bidii na kuwa marubani na mafundi wa ndege.View attachment 1686628
Hawa ni watoto wanaotegemewa kufaulu kwa alama za juu. Hii ndiyo nguvu kazi ya
Wapi papaa johnthebaptist , Mutu mukubwa , mutu ya kufagilia CCM hata kwenye mambo ya kutia aibu?Hizo shule aina hizo ziko nyingi mbona
Kwa afrika ni ngumu kumaliza matatizo?
SIJUI UMENIELEWA????
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Halafu unagawa hela barabarani kutokea kwenye gari! Unajenga vitu vya ajabu ajabu! Yamosoukrou na GbadoliteView attachment 1686628
Hawa ni watoto wanaotegemewa kufaulu kwa alama za juu. Hii ndiyo nguvu kazi ya
Your argument is not supported by any justification... Kuna mtu anatapanya hela kwa kununua vitu vya hovyo, kujenga vitu vya hovyo halafu unamtetea kuwa Africa is all like that!Hizo shule aina hizo ziko nyingi mbona
Kwa afrika ni ngumu kumaliza matatizo?
SIJUI UMENIELEWA????
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app