Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

sawa umenikumbusha kitu kuna mtu alishawahi kuniuliza hivi shule ya oliympio ni serkali au bifsi??
 
Siyo kila shule ya serikali inajiendesha kwa Style ya shule ya serikali ya Hananasif au Msisiri.

Huko Olympio huzioni school bus au?
wew chura school bus ni kielelezo kinajitoshelezaje tukijua kwamba ni privte au goverment??? na shule zote unazozijua wew kuna wanafunzi wanasoma bila sylabus ya serkali??
 
wew chura school bus ni kielelezo kinajitoshelezaje tukijua kwamba ni privte au goverment??? na shule zote unazozijua wew kuna wanafunzi wanasoma bila sylabus ya serkali??
Angalau ungekua senior member sasa member unakuja kuanza kwa matusi na unatarajia nijibishane na wewe?
 
Back
Top Bottom