Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Shukrani Mkuu.[emoji1752]Ukiangalia matokeo ya olympio oystabay
Huu hapa
View attachment 2084871
Kule kwa private englishmedium nako kuna haya
View attachment 2084872
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani Mkuu.[emoji1752]Ukiangalia matokeo ya olympio oystabay
Huu hapa
View attachment 2084871
Kule kwa private englishmedium nako kuna haya
View attachment 2084872
Olympio sio shule ya serikali na hakuna shule ya serikali ya English medium.Olympio English medium wana gharama za ziada kama shule zingine za serikali zilizo kwenye mfumo huo
Olympio sio shule ya serikali na hakuna shule ya serikali ya English medium.
Acha upotoshaji.
Poa Mkuu nitamuachia ili hata kujua kuishi na wenzake ni maisha pia.Shule ni mfumo ni zaidi ya kusoma na kuandika
Anapokuwa shule kuna mambo mengi anafaidika nayo kuliko mtoto kumfungia nyumbani tu
Lakini why hizi za English wamepandisha Bei ama kisa ni English tu kwani Kuna la ziadaNazidi kuamini elimu ni bidhaa, kama huna hela utapata bidhaa duni kadhalika ukiwa na hela lazima upate bidhaa bora.
Usikute tulikuwa wote mkuu.Daah nimesoma hapo Primary enzi za mkapa
Serikali ingejenga shule kama hii angalau 2 kila mkoa.Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.
Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.
Je, hii si shule ya Serikali, au?
Serikali ilipotangaza Elimu Bure walimu walijua watapiga hela Sanawaondoe sasa kauli ya elimu bure tena utawasikia viongozi wa serikali wakikaza misuli ya shingo wakijinadi tusisikie mtoto anarudishwa nyumbani kwa sababu ya ada na wala tusisikie watoto wanatozwa ada shule za serikali
Mpatie Elimu hadi ya juu mkuu asije akadharaulika huko mbeleniHapana anasoma Mavurunza
Nina mpango wa kumfundisha biashara elimu ya msingi inatosha akijua kusoma na kuandika.
WE WALIPE ADA YAO MANENO MENGI HAYASAIDII KITU,HIYO NI SHULE AMBAYO WAZAZI NA WALIMU WALIKAA NA WAKAAMUA KU UPGRADE BAADHI YA MAMBO KADHAA WA KADHAA,KWA HIYARI.PAY THAT FEE STOP LONGOLONGO.Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.
Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.
Je, hii si shule ya Serikali, au?
Mpatie Elimu hadi ya juu mkuu asije akadharaulika huko mbeleni
"Elimu ni kinga dhidi ya fedhea"
Yoda Kabla ya kuniamuru kuacha upotoshaji, Nithibitishie haya maneno yako kwamba
1.Olympio sio shule ya serikali na
2.Hakuna shule ya serikali ya English medium.
Vinginevyo nitaendelea kukuweka kwenye kundi la wapumbavu sababu ndiko unakostahili wewe!
Kila siku huwa huwa nakushauri usiwe unaongea mambo usiyojua maana yanakufedhesha, yanakutia aibu, yanakufanya uonekane mmbeya na mjawa majungu, yanakuweka kwenye kundi la watu wasiojielewa..... Ona sasa unavyokurupuka na kuropoka aibu
Ungekua mjinga ungekua unaelimika, ila wewe una kipaji hiki cha alichosema baba wa taifa
Rasmi kabisa nimeacha kusoma posts zako[emoji847][emoji847][emoji847]
Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.
Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.
Je, hii si shule ya Serikali, au?
hivi huku Tanganyika sisi tutaingia lini uchumi wa bluu naona wenzetu taifa la zanzibar wao siku nyingi wanapeta tu nahiyo kituHahahahah uchumi ukiwa wa bluu before miaka 4 toka sasa ataingia feza!
Nyie mtasubiri sana nchi ipo kwa wenyewehivi huku Tanganyika sisi tutaingia lini uchumi wa bluu naona wenzetu taifa la zanzibar wao siku nyingi wanapeta tu nahiyo kitu
We jamaa umeitaja msisiri nimestuka sana dah kumbe waukae wwSiyo kila shule ya serikali inajiendesha kwa Style ya shule ya serikali ya Hananasif au Msisiri.
Huko Olympio huzioni school bus au?
Ah Chaukucha unapajua?We jamaa umeitaja msisiri nimestuka sana dah kumbe waukae ww
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Sisi uku uchumi wa kijanihivi huku Tanganyika sisi tutaingia lini uchumi wa bluu naona wenzetu taifa la zanzibar wao siku nyingi wanapeta tu nahiyo kitu