Shule ya Sekondari Ulongoni A yakabiliwa na uhaba wa maji vyoo vya wanafunzi

Shule ya Sekondari Ulongoni A yakabiliwa na uhaba wa maji vyoo vya wanafunzi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Shule ya Sekondari Ulongoni A iliyopo Kata ya Gongolamboto inakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo uzio, miundombinu chakavu kwa baadhi ya madarasa na maabara.

Imeelezwa kuwa hali hiyo inachangia utoro kwa wanafunzi wengi pindi wanapohitaji haja binafsi na nidhamu ya ufaulu kushuka.

Mkuu wa Shule, Sikitiko Saleh pia wana upungufu wa walimu wa masomo ya Sayansi, wakati Afisa Elimu Kata ya Gongolamboto, Tabitha Mathius amesema wamewasiliana na Mbunge na Diwani wao ambao wameahidi kushughulikia baadhi ya changamoto zilizopo.

Chanzo: EATV
 
Shule za sekondary za DSM zinashida kubwa saana kuliko hata za mikoani
 
Shule ya Sekondari Ulongoni A iliyopo Kata ya Gongolamboto inakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo uzio, miundombinu chakavu kwa baadhi ya madarasa na maabara.

Imeelezwa kuwa hali hiyo inachangia utoro kwa wanafunzi wengi pindi wanapohitaji haja binafsi na nidhamu ya ufaulu kushuka.

Mkuu wa Shule, Sikitiko Saleh pia wana upungufu wa walimu wa masomo ya Sayansi, wakati Afisa Elimu Kata ya Gongolamboto, Tabitha Mathius amesema wamewasiliana na Mbunge na Diwani wao ambao wameahidi kushughulikia baadhi ya changamoto zilizopo.

Chanzo: EATV
Juzi tu tumetoka kuajiri,leo shule haina walimu wa sayansi. Wahitimu wapo mtaani.🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom