Hujui hilo, shule zipo chini ya nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui hilo, shule zipo chini ya nani?
Joketi kamshinda hadi Jafo imagine tangu Uhuru wilaya ilikuwa na Minaki tu, ifike mahali wawe wanataftwa viongozi wabunifu ka joketi akili kubwazKajenga kwa kuokoteza michango kutoka kwa wadau mbali mbali mpaka Shule imekamilika.Nyie wakati anachangisha mlimtukana,leo kafanikisha ujenzi wa Shule mnaoji.Zile bilioni alizochangiwa na watu pamoja na Pierre kuchangia Madawati angezitafuna mgehoji
you made the point somehowKajenga kwa kuokoteza michango kutoka kwa wadau mbali mbali mpaka Shule imekamilika.Nyie wakati anachangisha mlimtukana,leo kafanikisha ujenzi wa Shule mnaoji.Zile bilioni alizochangiwa na watu pamoja na Pierre kuchangia Madawati angezitafuna mgehoji.Kapambana na hiyo ni legacy yake kutokana na juhudi zake.Umefika wakati ukipewa nafasi lazima ujitume kuacha legacy nyuma.
Acha ROHO MBAYA CHIEFJafo kamuagiza mkurugenzi, Sasa Jafo kajiamulia yeye au naye kaagizwa amuagize mkurugenzi? Kama Jafo kajiamulia hayo madaraka anayo? Je Wana Kisarawe walishirikishwa? Maana Kuna majina ya kihistoria ambayo Wana Kisarawe wangependa hiyo shule iitwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli unaitaka mkuu.Naombeni namba ya huyu dada wa taifa nataka nimpigie nimpongeze
Mtu kama wewe ukute hata shule huna wala mjini hujawahi fika kuna mtu haijui Benjamin mkapa high school? ...Hivi hii shule imejengwa kwa kodi zetu au au jokate ndyo katoa pesa?
Jk na mkapa wamejenga mamia ya shule za kata ila kibinafsi sijasikia hata moja inajina la Mkapa au JK.
Kigogo inabidi atueleze usiku wa siku ya kuweka jiwe ikulu ya chamwino alikuwa wapi.
Kwa uzoefu wangu ili shule iwe na ufaulu mzuri lazima watoto wanaochukuliwa kuinga hapo wawe ni vichwa tokea primary schools,walimu pia watakaofundishwa ni lazima wawe walimu wazuri sio bora walimu,na wawe motivated.Lakini ukichukua tu ili kuchukua,hiyo shule itatia aibu hapo Kisarawe,ni maoni yangu tu hayo...Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwako mkuu wa wilaya yetu ya Kisarawe!
Napenda juhudi zako,u bunifu wako na fighting spirit chanya juu ya wilaya yetu.
Sambamba na juhudi zako ndani ya muda mfupi kumekuwa na mabadiliko mazuri ndani ya wilaya, nakupongeza sana.
Nije kwenye kiini cha uzi wangu;
Shule yetu mpya inayotarajiwa kutoa elimu hivi karibuni IWE YA O'LEVEL YA WASICHANA WENYE UFAULU MZURI KUTOKA DARASA LA SABA.
Iwe inachukuwa japo wasichana watatu toka kila shule wilaya nzima. Hii itasaidia sana kuwawezesha watoto waliokuwa na uwezo kuendeleza taaluma zao bila ya kukumbana na changamoto za kimazingira na vishawishi.
Pia watoto wahusishwe moja kwa moja kwenye programs mbalimbali mathalani kilimo cha mboga mboga, uhifadhi wa mazingira pamoja na uzalishaji wa miche ya mazao kama minazi, maembe, mikorosho, michungwa na mipapai.
Kuwepo na mkuu wa shule mtendaji hasa atakaye simamia taaluma, nidhamu, mazingira na projects mbalimbali shuleni
Nimewaza hivyo pia, Mwegelo wangelitoa likabaki Jokate tu.Jokate girls Secondary school. This sounds nicely. Anastahili kupewa heshima hii adimu.
Acha hizo mkuu kwa hyo Jokate hastahili kwa vipi wakat ni yeye aliyefanikisha shule ijengwe?Jafo kamuagiza mkurugenzi, Sasa Jafo kajiamulia yeye au naye kaagizwa amuagize mkurugenzi? Kama Jafo kajiamulia hayo madaraka anayo? Je Wana Kisarawe walishirikishwa? Maana Kuna majina ya kihistoria ambayo Wana Kisarawe wangependa hiyo shule iitwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anaonekana ana tabia za kiswahili kinomaAcha ROHO MBAYA CHIEF
Jafo kachnganyikiwa, akiona kidoti kile anakuwa kama mbwa aliyeona chatuView attachment 1464555
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amemuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kisarawe kuisajili shule mpya ya wasichana Kisarawe kwa jina la mkuu wa wilaya hiyo, Joketi Mwegelo.
Jokate amepokea taarifa hiyo kwa hisia na kusema hiyo ni heshima kubwa ambayo kuifikia amevumilia mengi ikiwemo baadhi ya watu kujaribu kumbeza na kumvua utu wake.
"Nilipoteuliwa wapo walibeza na wengine kujaribu kunivua utu wangu. Niliwaelewa lakini. Pwani wanasema Aso Mtu Ana Mungu. Namshukuru Mungu wangu kwa kunitetea. Mhe Waziri Jafo kamuelekeza DED kuisajili hii shule ya kihistoria Kisarawe na iitwe Jokate Mwegelo Girls Secondary School", Ameandika mkuu huyo wa wilaya aliyepata pia kuwa mshindi wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania mwaka 2006.
Kwa heshima ya watu wa Pwani na historia yake pamoja na ya shule husika kukataa kwa hekima kungekupa heshima zaidi kuliko sasaView attachment 1464555
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amemuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kisarawe kuisajili shule mpya ya wasichana Kisarawe kwa jina la mkuu wa wilaya hiyo, Joketi Mwegelo.
Jokate amepokea taarifa hiyo kwa hisia na kusema hiyo ni heshima kubwa ambayo kuifikia amevumilia mengi ikiwemo baadhi ya watu kujaribu kumbeza na kumvua utu wake.
"Nilipoteuliwa wapo walibeza na wengine kujaribu kunivua utu wangu. Niliwaelewa lakini. Pwani wanasema Aso Mtu Ana Mungu. Namshukuru Mungu wangu kwa kunitetea. Mhe Waziri Jafo kamuelekeza DED kuisajili hii shule ya kihistoria Kisarawe na iitwe Jokate Mwegelo Girls Secondary School", Ameandika mkuu huyo wa wilaya aliyepata pia kuwa mshindi wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania mwaka 2006.
Ndio maana nimeandika hapo juu kuwa kwa heshima ya watu wa Pwani na historia yao.. Angelikataa hilo jina kwa njia za hekima kungempa heshima zaidi kuliko sasaJafo kamuagiza mkurugenzi, Sasa Jafo kajiamulia yeye au naye kaagizwa amuagize mkurugenzi? Kama Jafo kajiamulia hayo madaraka anayo? Je Wana Kisarawe walishirikishwa? Maana Kuna majina ya kihistoria ambayo Wana Kisarawe wangependa hiyo shule iitwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimwage mafutaa kwenye shimo la kiza... Kuna nyoka wenye sumu kali watatoka... Kiba Ali anajua vema namaanisha niniNaombeni namba ya huyu dada wa taifa nataka nimpigie nimpongeze