Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 753
Yani jamii forums hata uingie na Hasira vipi lazima ucheke tu, Ivi mme wa mama samia tunamuitaje mana VP angekuwa mwanaume basi mke wake angeitwa Second ladyHuyu ni second lady. Tyar anashule inajina lake. 1st lady yupo tu kazubaa hata hachangamkii fursa
Benjamin Mkapa High school ipo Uhuru kariakoo,Salma Kikwete iko Tandale,Hivi hii shule imejengwa kwa kodi zetu au au jokate ndyo katoa pesa?
Jk na mkapa wamejenga mamia ya shule za kata ila kibinafsi sijasikia hata moja inajina la Mkapa au JK.
Kigogo inabidi atueleze usiku wa siku ya kuweka jiwe ikulu ya chamwino alikuwa wapi.
Shule ziko chini ya Halmashauri ambayo iko Tamisemi.
Kama kweli ni mchango wake hakuna tone la pesa ya serikali basi waite jina lakeKajenga kwa kuokoteza michango kutoka kwa wadau mbali mbali mpaka Shule imekamilika.Nyie wakati anachangisha mlimtukana,leo kafanikisha ujenzi wa Shule mnaoji.Zile bilioni alizochangiwa na watu pamoja na Pierre kuchangia Madawati angezitafuna mgehoji.Kapambana na hiyo ni legacy yake kutokana na juhudi zake.
Umefika wakati ukipewa nafasi lazima ujitume kuacha legacy nyuma.Hongera Jokate hata Wilaya ingebadilishwa ipewe jina lako sawa.Toka tupate Uhuru Kisarawe Ni Wilaya za mwanzo kabisa lakini wewe Umefanikiwa kuleta maji. Wabongo vizavizabina ukichutama watasema ukisimama watasema.Jifunze kujituma na kufanya kazi kwa bidii acha Majungu.
kweli kabisa, aangalie na kilimo kipo chini sana ingawa wana mashamba makubwa unalima eka 1 unavvna nusu gunia ya mahindi, cha kushangaza bwana shamba analima yeye anapata yani kaajiriwa ili alime yeyeJoketi kamshinda hadi Jafo imagine tangu Uhuru wilaya ilikuwa na Minaki tu, ifike mahali wawe wanataftwa viongozi wabunifu ka joketi akili kubwaz
Beauty with brain
amejitahidi sana huyu dada amejitoa kama mzaliwa Kisarawe, wakati hao wazaliwa wa huko hawana hata habariKama kweli ni mchango wake hakuna tone la pesa ya serikali basi waite jina lake
agombee ubunge labda ataisogeza hyo wilayaJokate ana deserve sana katika hilo, Amefanya makubwa apo kisarawe
acha mawazo mgando, mtu akifanya Jambo jema usimnyime sifaHivi hii shule imejengwa kwa kodi zetu au au jokate ndyo katoa pesa?
Jk na mkapa wamejenga mamia ya shule za kata ila kibinafsi sijasikia hata moja inajina la Mkapa au JK.
Kigogo inabidi atueleze usiku wa siku ya kuweka jiwe ikulu ya chamwino alikuwa wapi.
wacha shule kuna daraja la mkapa uwanja wa mkapa kiukweli huyo dada anastahili hiyo heshima amemfunika mpaka mbunge wa hapo ambaye ni mzawaMtu kama wewe ukute hata shule huna wala mjini hujawahi fika kuna mtu haijui Benjamin mkapa high school? ...
Shule zinasajiriwa wizara ya Elimu na siyo TAMISEMI. TAMISEMI ni waendeshaji tuu kwa sasaHujui hilo, shule zipo chini ya nani?
Usajiri wa shule haufanyiki halmashauriShule ziko chini ya Halmashauri ambayo iko Tamisemi.
Hivi kuna shule yoyote inaitwa bibi titi mohammed ? au ipo yoyote ya boys inayoitwa job lusinde ? mi nauliza tu