Shule yetu ya kata ina matokeo mazuri kuliko shule nyingi za Dar

Shule yetu ya kata ina matokeo mazuri kuliko shule nyingi za Dar

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Hii ni shule ya kata yetu mkoani Mara huko, shule haina muda mrefu tangu ianzishwe.. changamoto ni nyingi sana huko kijijini kwetu lakini ukiangalia matokeo ya hii shule in comparison na mashule mengi ya hapa Dar unaona kabisa hii shule imefanya vizuri sana.

Hawa vijana wa Daslamu wasipokuwa makini wataishia kujisifia tu kuwa wao ni born town kama ambavyo mstaafu mmoja amekuwa akijisifia ila kiuhalisia vichwani ni empty.
Screenshot_20230130-093553_Opera Mini.jpg
 
Bado hawajajua singeli hao na hakuna mabazazi wa kutosha huko kuwarubuni wanafunzi
 
Bado hawajajua singeli hao,na hakuna mabazazi wa kutosha huko kuwarubuni wanafunzi
Wanaijua sana singeli na mabazazi wapo wa kutosha tu ila WAZAZI, WALIMU na WANAFUNZI kwa kauli ya pamoja walisema HAPANA kwa mambo hayo - subiri baadaye. Wale wa Dasilamu kila mmoja alishika njia yake na wametawanyika mioyoni mwao -huyu singeli kwanza, yule miti/game kwanza, wale bangikwanza, .... na matokeo yake ndo hayo- usishangae.
 
Hongereni mwaka huu shule zimeperform mno mpaka zinatia wasiwasi

Feza Boys - Wana Div One wanafunzi wote 69 na kati yao wanafunzi 44 wana Div 1 point 7

Kibaha Secondary - Wanafunzi wote 91 wana Div One kati yao wanafunzi 28 wana Div 1 point 7

Inawezekani kuna Div 1 point 7 zaidi ya 400 mwaka huu
 
Hii ni shule ya kata yetu mkoani mara huko, shule haina muda mrefu tangu ianzishwe..changamoto ni nyingi sana huko kijijini kwetu lakini ukiangalia matokeo ya hii shule in comparison na mashule mengi ya hapa Dar.unaona kabisa hii shule imefanya vizuri sana.hawa vijana wa Daslamu wasipokua makini wataishia kujisifia tu kuwa wao ni born town kama ambavyo mstaafu mmoja amekua akijisifia ila kiuhalisia vichwani ni empty.
Inafanya vizuri lakini sio Kama huku kwetu Njombe
Screenshot_20230129-204356.png
 
Back
Top Bottom