Huna unachokijua kaa kimya. Kiswahili asili yake ni mchanganyiko wa kiarabu na na lugha za makabila ya pwani. Kenya kuna mwambao wa pwani ambao una makabila yanayotumia kiswahili ambayo ndio asili yao, unasemaje hawajui. Inawezekana hata wew ukawa mtu wa bara ambaye kiswahili hakikuhusu kabisa na kikamuhusu yule anaetoka pwani ya kenya.Wakenya ,waganda,wasudani, warwanda,wasomali warundi wote kapu moja kwahili hawajui.
aisee pole mkuu...kwani unaumia eti?😁💩wwNyie kulambana madume kawaida si mapunga watupu.Hongereni kiswahili chenu wa tz wavumilivu.Na sisi sijui lugha yetu ipi mtupe basi kiluo au kikuyu huo ni uonevu.wakenya tembeeni vifua mbele kwa kiki zenu
Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
Povu la nini sasa kuambiwa hamjui kiswahili? Jinyonge basiHuna unachokijua kaa kimya. Kiswahili asili yake ni mchanganyiko wa kiarabu na na lugha za makabila ya pwani. Kenya kuna mwambao wa pwani ambao una makabila yanayotumia kiswahili ambayo ndio asili yao, unasemaje hawajui. Inawezekana hata wew ukawa mtu wa bara ambaye kiswahili hakikuhusu kabisa na kikamuhusu yule anaetoka pwani ya kenya.
K mwili nzima *****aisee pole mkuu...kwani unaumia eti?[emoji16][emoji90]ww
Povu la nini sasa kuambiwa hamjui kiswahili? Jinyonge basi
Wew kama sio mtu wa pwani basi ujue ndio hakikuhusu mkuu. Jua hivyo
Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
Ki ukweli kabisa wakenya wapo vzuri kwenye kiswahili especially wale wanotoka ukanda wa pwani. Watz wengi wanashindwa kutofautisha R and L. dha wanatumia za na tha wanasema sa. Very sad. Unakuta mtu amemaliza mpaka chuo kikuu lakini still hawezo tofautisha hiyo
Wew kama sio mtu wa pwani basi ujue ndio hakikuhusu mkuu. Jua hivyo
Unajua lugha hai komei katika kusikika tu bali msingi mama wa Kiswahili ni Sarufi. Bali msingi wa lugha yoyote ile,hayasemi haya unayoyasema wewe isipokuwa mtu asie jua sarufi ya Kiswahili.Huo ndio ukweli kaka usikatae ukweli. Out of 10 only one anaweza kuongea au kuandika kiswahili fasaha TZ. Advantage ambayo watz wanayo over kenyans kwenye kiswahili is that they can speak very fast. Hilo tu mkuu
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Unatakiwa utofautishe kati ya lahaja za Kiswahili na Kiswahili sanifu.
Ukizungumzia ufasaha wa Kiswahili yaani Kiswahili sanifu,kwa makubaliano ya wajuzi wa lugha hii,walikubaliana na kuteua lahaja ya Kiunguja kuwa ndio Kiswahili fasaha na sanifu. Yaani marejeo ya Kiswahili ni kwa lahaja ya Kiunguja na usanifishwaji uliofata baadae,wa ila zile lahaja zingine kama za pwani ya kenya kama vile Kiamu,Kimvita Kimpate na nyingine za pwani ya Tanzania mpaka rufiji hizi zinabaki kama lahaja za Kiswahili ila sio kama ni marejeo ya Kiswahili sanifu.
Kwahiyo unaposema waswahili wa pwani ya kenya wapo vizuri,swali kwa msingi gani ? Je msingi wa matamshi au sarufi ?
Kushindwa kutofautisha kati ya L na R ni udhaifu wa kawaida tu ambao si sababu ya msingi ya kuondoa ujuzi wa lugha husika japokuwa ladha na mnato wa lugha hupotea.
Tuendelee...
kumbe wewe hujui kiswahili..unapiga kelele tu...nipe maana ya
STATE....
COUNTY...
Alafu hayo maelezo yako..ilikuwa unamaanisha ugatuzi..wala si gatuzi..
sasa nionyeshe aisee katika kamusi ya kiswahili..
o nondo nilizisahau hasa hiyo ya NGA mkenya hasa nkikuyu sehemu kwenye neno GA hawezi kutamka atatamka NGA kwa mfano gari atasema NGARIPande hii
Ukuje
Haiko
Ako tu sawa
Akuongeleshe
Inaendanga
Siutembezeage
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pumbavu sana wewe! Umeniudhi na likiswahili lako!Vizuri kwa kutuwakirisha sote ni lugha yetu. Kenya msitusahau na sisi pia huko.