Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio unaamini hivyo. Wao wanefanya research kabla ya kuiteua kenya. Wakaona Kenya ndio wapo vzr kuliko nchi yoyote. Wew umebakiwa na kusema kiswahili chetu basi wakatu huna unalolijuaHatujakataa..ila tunawahurumia AK maana watapata Kiswahili cha hovyo hapa Duniani
Tumesha wazoea wakenya kwasifa
Afrika ya Kusini wamefanya mabadiliko ya mfumo wao wa elimu,sasa wataanza kusoma Kiswahili badala ya Kifaransa na Kireno.
Kutokana na maamuzi haya,Serikali ya Afrika ya Kusini imeingia Makubaliano rasmi na Serikali ya Kenya ili Kenya ipeleke wataalam wake kwenda kufundisha Kiswahili nchini Afrika ya Kusini.
[emoji15]Haya mambo hayaaaaaa[emoji15]
Kuna kitu nakiona hapa.Afrika ya Kusini wamefanya mabadiliko ya mfumo wao wa elimu,sasa wataanza kusoma Kiswahili badala ya Kifaransa na Kireno.
Kutokana na maamuzi haya,Serikali ya Afrika ya Kusini imeingia Makubaliano rasmi na Serikali ya Kenya ili Kenya ipeleke wataalam wake kwenda kufundisha Kiswahili nchini Afrika ya Kusini.
😳Haya mambo hayaaaaaa😳
Kama wewe. Wee ndio Zuzu,wao wanakimbia ukabila wao.Ni bora nivumilie kusikiliza Kiswahili cha Kenya kuliko kumsikiliza mtanzania anayeongea au kuandika Kiswahili cha hovyo!
Hongera Wakenya kwa kuchangamkia fursa! Tz kuna majitu mazuzu sana wasioweza lugha yoyote!
Bado hujajua tu hata tafiti huwa zinakosewa...acha wasome Kiswahili cha ajabuWewe ndio unaamini hivyo. Wao wanefanya research kabla ya kuiteua kenya. Wakaona Kenya ndio wapo vzr kuliko nchi yoyote. Wew umebakiwa na kusema kiswahili chetu basi wakatu huna unalolijua
kun jamaa hapa kasema kiswahili hakiwahusu wabara..kuna wengine wakaanza kutema mapovu...nashuku hao jamaa ni wa kutoka tanzania bara kwel...si wajikubali km wabara wa kenya...wanajikubali km kiswahili hakiwahusu...
Punguza kutumia mihemuko kuongea ili uonekane upo right,
Bado hujajua tu hata tafiti huwa zinakosewa...acha wasome Kiswahili cha ajabu