Kiswahili chenyewe kibovu hapa tz
Dah! WaKenya nouma sana kwa kuchangamkia fursa. Yaani Tanzania ndio kwanza wako usingizini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! WaKenya nouma sana kwa kuchangamkia fursa. Yaani Tanzania ndio kwanza wako usingizini.
Nabisha ndio, kwa sababu sina mshikaji yeyote anayekosea lugha , wewe utakua mtu wa lake zone bila shakaSasa unabisha mkuu. Mimi kuna jamaa tena sio mmoja wamemaliza chuo kikuu kabisa. Mpaka huwa nashangaa na kujiuliza maswali mengi tu
Tanzania tuna kiswahili kizuri kuliko, ila waKenya sijui wanatupiga vipi.Kiswahili chenyewe kibovu hapa tz
Nabisha ndio, kwa sababu sina mshikaji yeyote anayekosea lugha , wewe utakua mtu wa lake zone bila shaka
Tanzania tuna kiswahili kizuri kuliko, ila waKenya sijui wanatupiga vipi.
Soma hapa na upunguze kucoment bila kufikiria https://habarileo.co.tz/habari/2019-03-195c9090b95e198.aspxDah! WaKenya nouma sana kwa kuchangamkia fursa. Yaani Tanzania ndio kwanza wako usingizini.
Wewe hujachunguza mwenyewe, hizo ni propaganda tu chunguza mwenyewe utaona. Sas wasouth afrika ni wajinga kiasi gani waache kuchukua watz tena marafiki Zao wa karibu kabisa waende kenya
According to your opinionHahah. Mimi mkuu sio mtu wa lake zone na wala sijawahi fika huko. Wapo wengi maisha yao ya kusoma ni hapa tz kuanzia la kwanza mpaka chuo, kiswahili chao ni disaster
Mara nyingi tunawaambia humu kwamba sisi Wakenya tunakipenda Kiswahili, ndio lugha yetu ya taifa inayotambulika kikatiba, tunakitumia mitaani na kote kote, sema ni ile hatuna ubumbumbu wa kujifungia kwenye lugha moja.
Tunatumia Kiswahili, Kingereza na lugha zetu za asili. Leo Kiswahili kinazagaa dunia na kupata umaarufu kwa ajili ya jitihada za Wakenya, tunakitangaza na kukipigia debe lakini pamoja na hayo tunaonyesha umahiri mkubwa kwa kumudu lugha zingine.
Utafiti wa sayansi ulishabaini kwamba ujanja wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua hata uwezo wa kutumia ubongo na kufikiria.
Afrika Kusini wamesaini makubaliano na Kenya ya kuanza kufundisha Kiswahili kwenye mtaala wao, hapo tayari maelfu ya Wakenya watahitajika kwenda kukifunza, ikumbukwe kule Uchina na Japani Wakenya ndio wanafunza Kiswahili kwenye vyuo vyao.
Waziri wa elimu wa Afrika Kusini yupo Kenya na amehudhuria utiaji saini wa hayo makubaliano.
------------------------------------------
![]()
Principal Secretary for Early Learning and Basic Education, Dr. Belio Kipsang, Cabinet Secretary for Education Prof George Magoha (C) and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga. [Photo: Courtesy]
South Africa will teach Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya
This precedes yesterday’s meeting in which Cabinet Secretary of Education Prof George Magoha and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga signed a Memorandum of Understanding for the respective countries.
The Signing of the MOU paves way for the introduction of Kiswahili teaching in South Africa, which will add to the bulk of many languages taught in the country.
Speaking at his office in Jogoo House, Nairobi, after signing the MOU; Prof Magoha lauded the development as a step forward to strengthen collaboration between the two countries.
Motshekga on the other hand said that 40 per cent of learners in South Africa are currently are either learning or speaking Kiswahili. This, she said would be beneficial to developing country’s educational system.
![]()
South Africa introduces Kiswahili teaching in its system
South Africa will be adopting teaching of Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya.www.standardmedia.co.ke
Wewe mwenye elimu nzuri unafanya nini humu.
Halafu magufuli akiondoa vyeti fake mnapiga kelele!
Wana JF nani aliwaroga?
Labda Jiwe alitaka kodi mapemaTusilaumu huwezijua pengine serikali ilizingua au ilisua Sua.Watz hawatuwez kuchangamkia fursa.
Hao ndio wale wanaoenda shule "kusomea ujinga". Unakuta jitu Kiingereza halijui, Kiswahili halijui, Kila lugha hajui! Anachojua ni kupiga porojo za siasa tu na kuomba papuchi mitandaoni.Mimi mkuu nimesema hapa watu wanatetea. Tx kiswahili kwenye makaratasi ni kitamu sana. Sasa mtafute Mtz tena msomi tu mwambie aandije au aongee kiswahili, utakimbia.