Mimi sio zuzu maana angalau Kiswahili nakimudu vilivyo hata nikiamshwa usiku wa manane siwezi kukosea sarufi!Kama wewe. Wee ndio Zuzu,wao wanakimbia ukabila wao.
Hao ndio wale wanaoenda shule "kusomea ujinga". Unakuta jitu Kiingereza halijui, Kiswahili halijui, Kila lugha hajui! Anachojua ni kupiga porojo za siasa tu, kuomba papuchi mitandaoni na kulilia ajira!
Illiteracy rate nchini ni kubwa kuliko tunavyodhani! Maana kuna watu wanaojiita wasomi lakini kumbe ni illiterates wa kutisha!
Kuna haja ya kuudadisi mfumo wa elimu!
True mkuu. Mi Mtz haya mambo yananiuma sana.Mimi sio zuzu maana angalau Kiswahili nakimudu vilivyo hata nikiamshwa usiku wa manane siwezi kukosea sarufi!
Wengi wenu hamjui lugha hasa ya maandishi, japokuwa matamshi nayo ni mabovu lakini angalau mnayaficha kwa kuongea haraka haraka!
Ohh tunataka Kiswahili, ohh sijui mabeberu! Kiswahili chenyewe hamkiwezi!! Mnababaisha tu!
Mimi mkuu nimesema hapa watu wanatetea. Tx kiswahili kwenye makaratasi ni kitamu sana. Sasa mtafute Mtz tena msomi tu mwambie
Wewe ndio unaamini hivyo. Wao wanefanya research kabla ya kuiteua kenya. Wakaona Kenya ndio wapo vzr kuliko nchi yoyote. Wew umebakiwa na kusema kiswahili chetu basi wakatu huna unalolijua
Ukweli ni kwamba tunaongea Kiswahili 'kizuri' kuliko wakenya, lakini hiyo haimaanishi kuwa tunaongea Kiswahili fasaha!Wakenya wanaoa jua Kiswahili fasaha ni wale ambao wamesomea Kiswahili kama fani pweke na si jambo la ajabu katika ulimwengu wa kielimu.
Ila kwa ujumla watanzania ndio wanaongea Kiswahili fasaha kuliko wengine.
Mkuu sisi ni wa hivyo sana na hii elimu yetu ya kukibagua kiingereza hivi huko nje utakako kwenda kutafuta hiyo kazi ya kufundisha kiswahili huyo mwenyeji wako nae anajua kiswahili?Kuna kitu nakiona hapa.
Sio South Africa pekee. Hata sehemu nyingine tumeshindwa kupeleka Waalimu wa Kiswahili.
Kwa maoni yangu, Walimu wetu wanapaswa kujua Kingereza ili waweze kwenda nje ya nchi kufundisha Kiswahili. Nahisi tunafeli hapa.
Wakenya na Kiswahili chao kibovu, wanatushinda hapa.
Marejeo ya Kiswahili fasaha ni wapi ? Vipi kuhusu uzuri wa Kiswahili cha Watanzania una mili wapi ? Katika sarufi au ?Ukweli ni kwamba tunaongea Kiswahili 'kizuri' kuliko wakenya, lakini hiyo haimaanishi kuwa tunaongea Kiswahili fasaha!
Hiyo ni lugha ya biashara kama ilivyo bata batani kanga moko kiuno ndembe ndembeUngejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
KISWAHILI ni lugha ya taifa wewe mamakun jamaa hapa kasema kiswahili hakiwahusu wabara..kuna wengine wakaanza kutema mapovu...nashuku hao jamaa ni wa kutoka tanzania bara kwel...si wajikubali km wabara wa kenya...wanajikubali km kiswahili hakiwahusu...
Acha bangiKwa kutumia lenzi mbinuko!
Sisi na nani wakati we kwenu KenyaKwenye hili nawaunga mkono. Sisi tunajifanya tunajua lakini hamna kitu
Mkenya huyo usiumize kichwaNabisha ndio, kwa sababu sina mshikaji yeyote anayekosea lugha , wewe utakua mtu wa lake zone bila shaka
Sisi na nani wakati we kwenu Kenya
Ati marejeo ya Kiswahili fasaha ni wapi! Hilo ni swali au uchochezi?Marejeo ya Kiswahili fasaha ni wapi ? Vipi kuhusu uzuri wa Kiswahili cha Watanzania una mili wapi ? Katika sarufi au ?
Ndio lazima uonekane ni muongo pindi unapolinganisha Kiswahili cha wakenya kwa ujumla na Kiswahili cha watanzania ?
Unafahamu maana ya neno "mihemko"? Umeshaangalia angalau kwenye kamusi kujua linamaanisha nini? Au ulimsikia 'mama dulla' anapayuka na wewe ukalidaka juu juu ukaja nalo Jamiiforums kulitungia sentensi ya majaribio?
Naam angalau umeanza kuandika kiswahiki kizuri sasaUnafahamu maana ya neno "mihemko"? Umeshaangalia angalau kwenye kamusi kujua linamaanisha nini? Au ulimsikia 'mama dulla' anapayuka na wewe ukalidaka juu juu ukaja nalo Jamiiforums kulitungia sentensi ya majaribio?
Una uelewa gani weweBora niwe mkenya kuliko kuwa na watu wasiojielewa