Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Kama wewe. Wee ndio Zuzu,wao wanakimbia ukabila wao.
Mimi sio zuzu maana angalau Kiswahili nakimudu vilivyo hata nikiamshwa usiku wa manane siwezi kukosea sarufi!

Wengi wenu hamjui lugha hasa ya maandishi, japokuwa matamshi nayo ni mabovu lakini angalau mnayaficha kwa kuongea haraka haraka!

Ohh tunataka Kiswahili, ohh sijui mabeberu! Kiswahili chenyewe hamkiwezi!! Mnababaisha tu!
 
Kweli mkuu. Watu wa aina hiyo wapo sana TZ
Hao ndio wale wanaoenda shule "kusomea ujinga". Unakuta jitu Kiingereza halijui, Kiswahili halijui, Kila lugha hajui! Anachojua ni kupiga porojo za siasa tu, kuomba papuchi mitandaoni na kulilia ajira!

Illiteracy rate nchini ni kubwa kuliko tunavyodhani! Maana kuna watu wanaojiita wasomi lakini kumbe ni illiterates wa kutisha!

Kuna haja ya kuudadisi mfumo wa elimu!
 
Mimi sio zuzu maana angalau Kiswahili nakimudu vilivyo hata nikiamshwa usiku wa manane siwezi kukosea sarufi!

Wengi wenu hamjui lugha hasa ya maandishi, japokuwa matamshi nayo ni mabovu lakini angalau mnayaficha kwa kuongea haraka haraka!

Ohh tunataka Kiswahili, ohh sijui mabeberu! Kiswahili chenyewe hamkiwezi!! Mnababaisha tu!
True mkuu. Mi Mtz haya mambo yananiuma sana.
 
Mimi mkuu nimesema hapa watu wanatetea. Tx kiswahili kwenye makaratasi ni kitamu sana. Sasa mtafute Mtz tena msomi tu mwambie

Mtanzania unae mkusudia hapa ni yule aliye soma fani ya Kiswahili pweke na mkenya unae mzungumzia ni mkenya alie soma Kiswahili kama fani au ?
 
Wewe ndio unaamini hivyo. Wao wanefanya research kabla ya kuiteua kenya. Wakaona Kenya ndio wapo vzr kuliko nchi yoyote. Wew umebakiwa na kusema kiswahili chetu basi wakatu huna unalolijua

Wakenya wanaoa jua Kiswahili fasaha ni wale ambao wamesomea Kiswahili kama fani pweke na si jambo la ajabu katika ulimwengu wa kielimu.

Ila kwa ujumla watanzania ndio wanaongea Kiswahili fasaha kuliko wengine.
 
Wakenya wanaoa jua Kiswahili fasaha ni wale ambao wamesomea Kiswahili kama fani pweke na si jambo la ajabu katika ulimwengu wa kielimu.

Ila kwa ujumla watanzania ndio wanaongea Kiswahili fasaha kuliko wengine.
Ukweli ni kwamba tunaongea Kiswahili 'kizuri' kuliko wakenya, lakini hiyo haimaanishi kuwa tunaongea Kiswahili fasaha!
 
Kuna kitu nakiona hapa.

Sio South Africa pekee. Hata sehemu nyingine tumeshindwa kupeleka Waalimu wa Kiswahili.

Kwa maoni yangu, Walimu wetu wanapaswa kujua Kingereza ili waweze kwenda nje ya nchi kufundisha Kiswahili. Nahisi tunafeli hapa.

Wakenya na Kiswahili chao kibovu, wanatushinda hapa.
Mkuu sisi ni wa hivyo sana na hii elimu yetu ya kukibagua kiingereza hivi huko nje utakako kwenda kutafuta hiyo kazi ya kufundisha kiswahili huyo mwenyeji wako nae anajua kiswahili?
 
Ukweli ni kwamba tunaongea Kiswahili 'kizuri' kuliko wakenya, lakini hiyo haimaanishi kuwa tunaongea Kiswahili fasaha!
Marejeo ya Kiswahili fasaha ni wapi ? Vipi kuhusu uzuri wa Kiswahili cha Watanzania una mili wapi ? Katika sarufi au ?

Ndio lazima uonekane ni muongo pindi unapolinganisha Kiswahili cha wakenya kwa ujumla na Kiswahili cha watanzania ?
 
Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
Hiyo ni lugha ya biashara kama ilivyo bata batani kanga moko kiuno ndembe ndembe
 
kun jamaa hapa kasema kiswahili hakiwahusu wabara..kuna wengine wakaanza kutema mapovu...nashuku hao jamaa ni wa kutoka tanzania bara kwel...si wajikubali km wabara wa kenya...wanajikubali km kiswahili hakiwahusu...
KISWAHILI ni lugha ya taifa wewe mama
 
Marejeo ya Kiswahili fasaha ni wapi ? Vipi kuhusu uzuri wa Kiswahili cha Watanzania una mili wapi ? Katika sarufi au ?

Ndio lazima uonekane ni muongo pindi unapolinganisha Kiswahili cha wakenya kwa ujumla na Kiswahili cha watanzania ?
Ati marejeo ya Kiswahili fasaha ni wapi! Hilo ni swali au uchochezi?

Lugha fasaha ni lugha inayofuata utaratibu wa kisarufi. Tofauti yetu na wakenya ni kuwa Kiswahili cha Kenya ni kibovu zaidi!

Sikumaanisha kuwa watanzania 'wote' wanazungumza na kuandika Kiswahili kibovu. Baadhi kama sio wengi hawafahamu Kiswahili sanifu!

Matumizi ya "H" na "irabu", "dh" Vs "Z", "S" Vs "th", "R" Vs "L" ni baadhi ya magonjwa sugu ya Kiswahili cha watanzania. Maneno kama alafu- Halafu, hanakuja-anakuja, zamana-dhamana, urisi-urithi, samani-thamani, kasilika-kasirika, ugari-ugali. nk. Hiyo ni mifano michache ya uharibifu wa Kiswahili na sababu yake ni illiteracy tu wala hakuna lingine. (Umbumbumbu wa lugha).
 
GODZILLA na french nimewafuatilia nimegundua hoja mnazozitoa ni kwa ushabiki na mihemko hamna mnalolijua kuhusu kiswahili
Unafahamu maana ya neno "mihemko"? Umeshaangalia angalau kwenye kamusi kujua linamaanisha nini? Au ulimsikia 'mama dulla' anapayuka na wewe ukalidaka juu juu ukaja nalo Jamiiforums kulitungia sentensi ya majaribio?
 
Unafahamu maana ya neno "mihemko"? Umeshaangalia angalau kwenye kamusi kujua linamaanisha nini? Au ulimsikia 'mama dulla' anapayuka na wewe ukalidaka juu juu ukaja nalo Jamiiforums kulitungia sentensi ya majaribio?
Naam angalau umeanza kuandika kiswahiki kizuri sasa
Kumbe somo linaingia
 
Back
Top Bottom