Shule za bweni kwa wavulana ni tishio katika mmomonyoko wa maadili

Shule za bweni kwa wavulana ni tishio katika mmomonyoko wa maadili

Umeahawahi kuigiza na sketi mkuu??

Aisee enzi zetu hata kama ni maigizo sijaona wa kumvisha sketi aisee
Hayo ni maigizo ya kawaida sana mashuleni ili kuvaa uhusika wa FASIHI.

Tatizo ni kwamba SHULE ZA SENTI KAJAMBA hazina practical learning, ndio maana mwisho wa siku wanaambulia madivisheni foo.

SHULE ZA SENTI KAJAMBA ni msiba.
 
Tatizo lako umehitimu SENTI KAJAMBA.

Ndio maana unaonea gere shule za vipanga.
mshamba eti shule za vipanga ! limekuma mshamba

shule za vipanga wale real sio wakuboost wakpo kibaha ,ilboru, msalato ,na nyingine nyingi uwezo ndo umewapaleka sio fedha
 
Back
Top Bottom