Hakuna huo utaratibu Dar sec hata mwaka huu kuna zero moja katika matokeo ya kidato cha 4 na mtu aliyepata Zero walimu walikuwa wanafahamu kabisa kuwa ana asilimia kubwa sana za kupata zero kutokana na mwenendo wake kitaalumaKinachofanyika Dar es salaam sekondary ni kuwafukuza au kuwahamisha wanafunzi wanaofeli.
Hiyo Kibasila hamna kitu miaka hii hamna mwaka waliowazidi Dar sec ndani ya hyo miaka mitanoKibasila sec schools siku hizi wanazipita hizo shule zote hapo juu
Angalia matokeo ya Kidato cha 4 , cha 6 miaka mitano mfululizo utaniambia
Azania, Jangwani imebaki majina
Mkuu wa Kibasila apewe Maua yake
Kabisa Mkuu mzazi akiwa na mtoto Shule hizi akikazia kwenye ufuatiliaji kidogo tu mtoto atafaulu sana zaidi ya hata hao Canossa,St MaryKwa shule za serikali dar
1.Azania
2.Pugu
3.Dar sec
4.Jangwani
5.Benjamin
6.Chang'ombe(duce)
7.Kibasila
8.Mbezi beach
9.Jamhuri DSM
10.Zanaki girls
Hizi nadhani mzazi anaweza kuangalia uwezekano wa kupeleka mtoto na akiwa na ufatiliaji mtoto anaweza kufanya vizuri
Fact ila kwa nidhamu ni best School in dar es salaam.Kitaaluma wako nyuma Bado wanazidiwa hadi na Mchanganyiko Secondary
Acha uongo mkuu.Hivi Dar es salaam school nayo ni shule Kongwe? Kweli nmezeeka.....
Azania kwa sasa hakuna kitu ni moja ya shule inaongoza kwa zero nyingi kuliko div 1....
Uongo uko wapi mkuu?Acha uongo mkuu.
Niambie mwaka ambao zero zilikuwa nyingi kuliko 1. Mi nimesoma hiyo shule kila mwaka nafuatilia matokeo yake.Uongo uko wapi mkuu?
2004 na matokeo ya 2007.Niambie mwaka ambao zero zilikuwa nyingi kuliko 1. Mi nimesoma hiyo shule kila mwaka nafuatilia matokeo yake.
Mkuu hiyo ni past tense angalia matokeo yao ya 2024 form four wametoa one 139 na zero 1.2004 na matokeo ya 2007.
Munabishana tuu ila hakuna anaeleta matokeo.
Basi tuseme shule zote hakuna kitu ni mbovu.
sasa kumbe umekuja na majibu yako mfukoni mkuu.Mkuu hiyo ni past tense angalia matokeo yao ya 2024 form four wametoa one 139 na zero 1.
Kila shule inafaulisha? Umeangalia matokeo ya shule za kata zilizo huku Dar? Hiyo Azania imetoa vipanga wengi hata viongozi wengi wa serikali kama akina Bashungwa na Mwinyi wamesoma pale so haijaanza kufaulisha leo.sasa kumbe umekuja na majibu yako mfukoni mkuu.
Siku hizi kila shule inafaulisha. Tatzo inafaulisha kina nani ndio issue...
Mara ya mwishoo kufanya hii research liniNo 2 Azania secondary school
Al maarufu walijulikana kama Aza boy Hii nayo ni shule nzuri sana katika mkoa huu wa Dar es salaam Ni shule ambayo ina historia nzuri pia katika kutoa vipanga katika taifa letu
Pia imejaaliwa kuwa na walimu wengi na bora sana ufaulu wao ukichagizwa na commitment yao wanafunzi kwani tulikuwa tunakutana nao sanaa pale mchikichini kwa logman,mudy physics, mgote so hata uwe kilaza pale wenzako watakuinfluence ili ule msuli.
Kitaaluma wako vizuri sana japokuwa hatuioni hata top 20 lakini wanafunzi wao kiujumla wanafanya vizuri sanaView attachment 3056962