Shule zangu 3 bora za serikali mkoa wa Dar es Salaam

Shule zangu 3 bora za serikali mkoa wa Dar es Salaam

Kibasila sec schools siku hizi wanazipita hizo shule zote hapo juu
Angalia matokeo ya Kidato cha 4 , cha 6 miaka mitano mfululizo utaniambia
Azania, Jangwani imebaki majina
Mkuu wa Kibasila apewe Maua yake
Jangwani itapotea sana, vitoto kutwaa kuzurura kkoo, na kukaa kwenye bajaji za wachumba zao. Lol
 
Back
Top Bottom