Shule zilizoshika mkia matokeo ya Kidato cha Nne 2022

Hii ni list ya shule zilizoshika mkia kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022.

Ukiangalia vizuri kuna kitu kiko very common[emoji2]

View attachment 2503295
List imetawaliwa na #TeamMnyaazi

Source: Malisa GJ instagram account
Haisaidii .

Waje mtaani Tufanye maisha.

Wengine wake za watu hapo na waume.

Wengine wachungaji.

Bodaboda.

Hivyo hakuna ambaye hana umuhimu katika hayo matokeo
 
Hao Matajiri unaowaelezea hapa sio Wabantu wenye ngozi nyeusi, pua pana na nywele ngumu kama wewe

Na isitoshe uongozi na kazi zao zinafanywa na Wagalatia, sio Wavaa kobasi
 
Umesahau mnajua na kuchambia maji yani kuosha matako kwa maji hili ni la muhimu na la kujivunia sana katika yote kuwazidi watu wa bara,[emoji23][emoji23][emoji23]
TAKIBIIIR....!!!
 
Shule tatu kutoka kaskazini unguja, na izi tatu zinatokea eneo la matemwe , matemwe maendeleo ni duni sana, na kunasifika kwa uchawi , eneo hili linahitaji nguvu ya ziada Ili kuboresha elimu.
 
Jf bhana,nyie si mnashauri kila siku humu kuwa watu wasisome pesa za Ada wafanyie biasghara Elimu ya Tz Haina maana na ajira hakuna?

Sasa mnalalama Nini??

Pwani wameamua kufanya biashara,mtoto akijua kusoma/kuandika na kurudisha chenji yatosha yakhe,
 
Na una uhakika nchi Ina run!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…