Haisaidii .Hii ni list ya shule zilizoshika mkia kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022.
Ukiangalia vizuri kuna kitu kiko very common[emoji2]
View attachment 2503295
List imetawaliwa na #TeamMnyaazi
Source: Malisa GJ instagram account
Rudini, enyi watoto wenye kuasi, asema BWANA; maana mimi ni mume wenu;Wambie wambie Amir
😂😂😂😂😂Haya tunashukuru tumepata wasoma albadiri wengi mtaani😂😂😂😂
Bila shaka wanakubandua. Maana huwezi kuwa unarudia rudia same comment mara nyingi nyingiRudini, enyi watoto wenye kuasi, asema BWANA; maana mimi ni mume wenu;
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama ninavyombandua mama ykoKabanduliwe mbele ya safari huko
Hao Matajiri unaowaelezea hapa sio Wabantu wenye ngozi nyeusi, pua pana na nywele ngumu kama wewePwani, Dar na Zanzibar ndio wanao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Uchumi wa nchi hii ungekuwa ICU kama sio marais na wafanyabishara kutoka mikoa ya Pwani
Kuanzia Mwinyi aliyefungua nchi iliyokuwa imekabwa na ujamaa wa Nyerere
Mkapa aliyefanya ubinafsishaji wa makampuni yaloyokuwa yanaitia hasara serikali na kuleta uwekezaji mkubwa nchini
Kikwete aliyezidi kuifungua nchi, kukuza uhuru uchumi na watanzania wengi kuwa na furaha
Samia ambaye hadi wapinzani wamekiri anaupiga mwingi
Usishau akina Bakhressa, Turky na top 50 yote ya matajiri wa Tanzania ni asili ya ukanda wa Pwani
Mnawacheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule wao wanafaulu kwenye maisha
TAKIBIIIR....!!!Umesahau mnajua na kuchambia maji yani kuosha matako kwa maji hili ni la muhimu na la kujivunia sana katika yote kuwazidi watu wa bara,[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni Mwarabu? Waarabu una vinasaba nao?Hata mabasi ya Usafiri Bara na Visiwani 90% yanamilikiwa na Waarabu wa Pemba na Pwani
Basi tuwapigie makofi na Serikali itafute namna ya kuwaandalia zawadiWazanzibar wanastahili pongezi Kwa matokeo haya....elimu ya magharibi ni HARAMU wanasema
Kwani anajua hata Mtwara iko wapi?Huyu sio wa Pwani?
Sio sababuUkienda Arusha huko,walimu wa SoMo moja wamezidi idadi inayohitajika,pwani walimu hakuna
Na lindiPwani, pemba, Daslam
Naona Tanga na Mtwara angalau wamejikaza
Baaada ya miak 3 hIvi hao watakuwa Madc hasa baraHii ni list ya shule zilizoshika mkia kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022.
Ukiangalia vizuri kuna kitu kiko very common😃
View attachment 2503295
List imetawaliwa na #TeamMnyaazi
Source: Malisa GJ instagram account
Na una uhakika nchi Ina run!?Pwani, Dar na Zanzibar ndio wanao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Uchumi wa nchi hii ungekuwa ICU kama sio marais na wafanyabishara kutoka mikoa ya Pwani
Kuanzia Mwinyi aliyefungua nchi iliyokuwa imekabwa na ujamaa wa Nyerere
Mkapa aliyefanya ubinafsishaji wa makampuni yaloyokuwa yanaitia hasara serikali na kuleta uwekezaji mkubwa nchini
Kikwete aliyezidi kuifungua nchi, kukuza uhuru uchumi na watanzania wengi kuwa na furaha
Samia ambaye hadi wapinzani wamekiri anaupiga mwingi
Usishau akina Bakhressa, Turky na top 50 yote ya matajiri wa Tanzania ni asili ya ukanda wa Pwani
Mnawacheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule wao wanafaulu kwenye maisha
Nadhani wamefaulu kuishi temeke na buguruniMaisha yapi?
Hawawezi coz waislamu ndiyo wanaowaongoza,lazima wawataje mabosi zao,Kwani haiwezekani kuleta mada bila kuutaja uislamu?.