Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako

Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
Its my hope ukiwa kwenye mahusiano na huyu KENGE aliyejipenyeza katikati ya msafara wa MAMBA utapunguza fujo za kupost kuleeeeee kwenye mambo yetu pendwa dadequeeeee
 
I Will Remember You


I will remember you, will you remember me?
Don't let your life pass you by,
Weep not for the memories
Remember the good times that we had?
I let them slip away from us when things got bad.
How clearly I first saw you smilin' in the sun
Want to feel your warmth upon me
I want to be the one
I will remember you, will you remember me?
Don't let your life pass you by
Weep not for the memories
I'm so tired but I can't sleep
Standin' on the edge of something much to deep
It's funny how we feel so much but we cannot say a word
We are screaming inside, but we can't be heard
I will remember you, will you remember me?
Don't let your life pass you by
Weep not for the memories
I'm so afraid to love you
But more afraid to lose
Clinging to…
I will remember you!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nakuona unaitendea haki hiyo dawa iitwayo Carbamazepine, u relieve my moods .
cc. Carbamazepine
Mkuu, hivi kumbe Carbamazepine ni dawa? Tena ya ku-relieve moods? Nilikuwa sijui. Asante kwa kunifungua macho. Ngoja niende Google...[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️
 
Oceans are apart day after day
And I slowly go insane

I hear your voice on the line
But it doesn't stop the pain

If I see you next to never
how can we say forever...

Wherever you go
Whatever you do
I will be right here waiting for you
Wherever it takes
Or how my heart breaks
I will be right here waiting for youuuuuuuu[emoji1][emoji1]
Wimbo unaitwaje mkuu?, nataka niutafute niwe nausikiliza mzee
cc. Vladimirovich Putin
 
Namkaribisha rasmi Mkoani Mara ( Musoma ), Lindi na Gisenyi nchini Rwanda. Na kuanzia leo nawaomba ' Poti ' zangu wote kutoka Mkoani Mara muwe mnamuheshimu Shemeji yenu Shunie na mumpe ushirikiano wenu wote mkiwa nae humu. Najipanga kufanya Sherehe kubwa kidogo ambayo inaweza ikatikisa si tu Tanzania na Rwanda bali hata na dunia nzima.

Na Harusi yangu au Mahusiano yangu na Shunie yasipofanikiwa hawa Watu watanikoma kwakweli kwani nawajua walivyo na husuda:

  1. Wahaya ( Kagera )
  2. Waha ( Kigoma )
  3. Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida )
  4. Warangi ( Dodoma )
Leo Mwanamume nimesema ukweli japo najua watakaonuna ni lukuki / wengi.
Poti ushamaliza kabisa hao watu lazima tuwalambishe viatu tena kama hao waha na wahaya wataishia magetini tu

Karibu sana mura
 
Mkuu, hivi kumbe Carbamazepine ni dawa? Tena ya ku-relieve moods? Nilikuwa sijui. Asante kwa kunifungua macho. Ngoja niende Google...[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimetumia simple language mkuu, ukienda google utakutana na complex information, waliosoma pharmacology nadhani watanielewa na si vinginevyo [emoji28]
 
Kwani una umri gani Mkuu mpaka uzungumzie ndoa leo? Kutokana na namna ulivyojibu hapo juu, umewahi kuwa kwenye ndoa awali? Kama jibu ni ndiyo, ilikuwaje ukaacha/ukaachika? Kama jibu ni hapana, kwa nini umewahi/umechelewa namna hiyo? By the way, all the best.
 
Back
Top Bottom