Priceless soul
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,484
- 1,732
Haaaah ameshuka verse ya huzun haaa.Mh
Baba yeyoo jaman[emoji134][emoji134]
Mjibu basi ile ya WRONG DIRECTION by PASSENGER
".....I 've be run in the wrong direction ohoooo ohhhh"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaah ameshuka verse ya huzun haaa.Mh
Baba yeyoo jaman[emoji134][emoji134]
Mbona umeandika kama umeibiwa.
Hakuna shida wakikubaliana tu napanga zamuhiyo kali kupanga zamu zao cjui ndio inakuwaje maana nahisi utakuwa unatumika daily
Usimtishe mkuu, kitu kiko murua kabisa hicho[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] nimetumia simple language mkuu, ukienda google utakutana na complex information, waliosoma pharmacology nadhani watanielewa na si vinginevyo [emoji28]
Gusa unaseNdiwooo. Tukigusa hatutoki. Genta ajiandae tu kuleta ujumbe Tanga
Mkuu hii ni chit chat usijiumize kichwa bureKwani una umri gani Mkuu mpaka uzungumzie ndoa leo? Kutokana na namna ulivyojibu hapo juu, umewahi kuwa kwenye ndoa awali? Kama jibu ni ndiyo, ilikuwaje ukaacha/ukaachika? Kama jibu ni hapana, kwa nini umewahi/umechelewa namna hiyo? By the way, all the best.
Hakuna namnautatoka SUPER......mpk ma-x wako wote tutakumind
This is JF and this is Chit-Chat.Kwani una umri gani Mkuu mpaka uzungumzie ndoa leo? Kutokana na namna ulivyojibu hapo juu, umewahi kuwa kwenye ndoa awali? Kama jibu ni ndiyo, ilikuwaje ukaacha/ukaachika? Kama jibu ni hapana, kwa nini umewahi/umechelewa namna hiyo? By the way, all the best.
Hahaha...Yaan wewe
Nishamjibu huyo.Tuachee
[emoji8][emoji8][emoji8]Remember that, some bridges never burn. I will always love you.
Ila wanaume 2!!.. Si utachoka best..Asante K jaman
Kwendraaaaa[emoji107][emoji107][emoji107]
Ila wanaume 2!!.. Si utachoka best..Asante K jaman
Eiiish kwahiyo mimi ndo substitute sio. Na mie kumeshajaa. Nasubiria baby wangu anishushie gazeti hapa kumimwagia sifa binti wa kitanga. Pole mwaya umekosa bara na pwani.Hivi ile offer uliyonipa bado ipo Bibie? Si unaona mwali anachukuliwa mbele ya kadamnasi?
Hahahaa. Njoo bwana dada.Sitakiii siji
Sio mahali pake hapa halaf panahitaji maelezo marefu utaniuliza sehemu nyingine au uje kapuku nitakupa jibuKumbe ulitudanganya uliposema Le empire kaachana na social media ikiwemo JF wakati ana ID nyingine na yupo hewani muda wote[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]