Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo namjibu kwa wozapHaaaah ameshuka verse ya huzun haaa.
Mjibu basi ile ya WRONG DIRECTION by PASSENGER
".....I 've be run in the wrong direction ohoooo ohhhh"
Mh [emoji3][emoji3][emoji3]Hivi ile offer uliyonipa bado ipo Bibie? Si unaona mwali anachukuliwa mbele ya kadamnasi?
Halaf watu wanachukulia chit chat ni mambo za useriousThis is JF and this is Chit-Chat.
Karibu sana mkuu!!
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Emmyta uko wapi, naona likes tu lakini haucomment...ukuje huku.
Ngoja akuje akubali kwanzaHahaha...
Mrs G
so hutaki kurudi tena.......au ndo jamaa yetu kashakuloga kwa masaa machache hayaHakuna namna
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Nimejibu jaman genta atakubali kuwa mume wa pili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza si nitawapangia zamuIla wanaume 2!!.. Si utachoka best..
Hajakosa abaki kwa foleni tuEiiish kwahiyo mimi ndo substitute sio. Na mie kumeshajaa. Nasubiria baby wangu anishushie gazeti hapa kumimwagia sifa binti wa kitanga. Pole mwaya umekosa bara na pwani.
SawaSio mahali pake hapa halaf panahitaji maelezo marefu utaniuliza sehemu nyingine au uje kapuku nitakupa jibu
Akhuuu huko hunioni tena dadaHahahaa. Njoo bwana dada.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] shunie.Huyo namjibu kwa wozap
Anaanzaje kukataa sasaNgoja akuje akubali kwanza
Kurudi wapi weweso hutaki kurudi tena.......au ndo jamaa yetu kashakuloga kwa masaa machache haya
@Samaritan kumbe nafasi yako bado ipo shemeji.Hajakosa abaki kwa foleni tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza si nitawapangia zamu
Ewaaaaaa maisha matamu sana halaf mafupi acha tupende na tupendwe[emoji1] [emoji1] [emoji1] shunie.
Aiyah ongeza siku zako za uhai kwa kupendwa,kupenda,na kufanya unacho penda.